Huwa najiuliza mpk kesho na sipati jibu, hivi Wakenya walitumia vigezo gani kusema wako mbele ya Tz kwa miundombinu mbn uchafu wa miundombinu uliojaa Nairobi siuoni Dar?maji ya Bomba lililopasuka yamesomba "chinese first class" super highway !





Hiyo mifereji ya pembeni ya kupitisha maji mbona ni vitukomaji ya Bomba lililopasuka yamesomba "chinese first class" super highway !



Inachekesha sana kwa kweli, watu sahizi tunatengeneza mifereji ambayo mtu anaweza akambeba mwenzake juu na wakapita kwenye mfereji na usiwaoneHiyo mifereji ya pembeni ya kupitisha maji mbona ni vituko![]()






Inachekesha sana kwa kweli, watu sahizi tunatengeneza mifereji ambayo mtu anaweza akambeba mwenzake juu na wakapita kwenye mfereji na usiwaone![]()
maji ya Bomba lililopasuka yamesomba "chinese first class" super highway !
kuna hii pia, Chinese First Class, Ati Tony254 Kifaru_07 komora096 pingli-nywee n mwathadan what class is this pipeline(Mombasa-Kisumu) ?raha ya mchina hio 😂😂😂 raha ya mikopo
Kenya ni nchi ya kihuni sn ckutegemea kabisa mana story nilizokuwa naaminishwa kipindi niko mdg eti kenya ni nchi iliyoendelea kuliko nchi zote EA kuja kucheki kumbe ni kwasababu ya GDP but on ground nkakuta vitu ni differentHalafu sehemu zingine kwenye hiyo barabara hakuna mifereji yaani wanajenga ili mradi tu imejengwa![]()


Yaani ukiwa huwajui watakudanganga kinoma,Kenya ni nchi ya kihuni sn ckutegemea kabisa mana story nilizokuwa naaminishwa kipindi niko mdg eti kenya ni nchi iliyoendelea kuliko nchi zote EA kuja kucheki kumbe ni kwasababu ya GDP but on ground nkakuta vitu ni different![]()



Daraja likikamilika litatoa view matata sana!
Yaani ukiwa huwajui watakudanganga kinoma,
Na ukiangalia hiyo barabara vizuri hizo sehemu kwa pembeni zilizo pata nyufa utaona wamemimina zege ya cement iliyokorogwa utadhani walikuwa wanajenga msingi![]()



Kuna mmoja kaniandikia inbobo ananitukana eti anadai wamesusa! Wako mgomo baridi nimewagonga vitasa vya kufa mtu, wamechukia! 👆 😀😀😀👆Yaani ukiwa huwajui watakudanganga kinoma,
Na ukiangalia hiyo barabara vizuri hizo sehemu kwa pembeni zilizo pata nyufa utaona wamemimina zege ya cement iliyokorogwa utadhani walikuwa wanajenga msingi![]()
Screenshot tumuumbueKuna mmoja kaniandikia inbobo ananitukana eti anadai wamesusa! Wako mgomo baridi nimewagonga vitasa vya kufa mtu, wamechukia!😀😀😀
![]()


Hahaha akijileta kimbelembele nitamwanika!Screenshot tumuumbue![]()
Hawa jamaa, kwa hali ya uchumi unavyoporomoka sasa, watachinjana sana uchaguzi ujao, bahati mbaya Magu hataingilia. Alishasema kuwa wakipigana majirani, yeye atafanya biashara tuu.KENYATTA KUACHA DENI LA DOLA BILIONI 8