bado tu wanalia ๐๐๐๐๐
Hussein Mwinyi alishasema, amejifunza kutoka kwa Magu jinsi ya kubana, wasifikirie yeye mpole.
Bandari inazidi ku-move tu! Kuna mpango wa new berths upande wa Kigamboni.
Lake ngozi the 2nd largest lake crater in africaView attachment 1574993View attachment 1574994View attachment 1574995View attachment 1574996
kama ni ivo basi patazidi kuleta muonekano mzuriBandari inazidi ku-move tu! Kuna mpango wa new berths upande wa Kigamboni.
Aisee Tanzania ni balaa mali zingine hata hazijulikani.Lake ngozi the 2nd largest lake crater in africaView attachment 1574993View attachment 1574994View attachment 1574995View attachment 1574996
Inabidi iingie kwenye seven wonders kwa maana structure yake ni ramani ya africaAisee Tanzania ni balaa mali zingine hata hazijulikani.
wadau tuchangamkie hiki kilimo cha maparachichi
Awamchukii magu,wanachukia magu kuwa rais wa Tanzania,halafu wanapenda magu angekua rais wa kunyalandWanamchukia sana na cku ukitaka kujua Magu ni nani kenya ngj amalize muda wake Wakenya watafanya sherehe, unajua haya mambo anayoyafanya Magu yatakuja kulipa miaka 5 mbele ss WaTz wasio na idea ya uchumi wanaona Magu anazingua japo wengi wanamshangilia kutokana na miundombinu aliyojenga but wengi hawajui kuna mambo gn anafanya makubwa kuliko hata hyo miundombinu [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo inatakiwa itangazwe sn.Inabidi iingie kwenye seven wonders kwa maana structure yake ni ramani ya africa
Umejibu vzr sn [emoji3][emoji3][emoji3]Awamchukii magu,wanachukia magu kuwa rais wa Tanzania,halafu wanapenda magu angekua rais wa kunyaland
Niliwahi kumsikia Mkurugenzi Mkuu wa bandari (Eng. Kakoko) akisema kuwa, ilitakiwa upande wote ule (mpaka mtoni) kuachwa wazi, ila serikali iliachia watu wakajijengea hovyo. Hivyo gharama za kuwalipa fidia zitakuwa nyingi, kama wataamua kufanya upanuzi hapo baadae.Bandari inazidi ku-move tu! Kuna mpango wa new berths upande wa Kigamboni.