Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dah yaani Rais wa Burundi hajatimiza hata miezi mitatu tayari kakaribishwa na kazindua jengo! Yule wa Kunyaland amebakiza miaka miwili aondoke madarakani, no oficial invitation hata Chato ali-gate crash!




EiRd2flX0AEKUuz


EiRd2flXkAE1Wj-


 
I dare questioning my self patriotism of J.Kikwete, yaani nashangaa huyu jamaa alisaini vp huu mkataba wa kijinga kiasi hiki.
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili swali...mkuu wa Nchi inasemekana alionywa lkn bado akasaini tuu...hii inavuta picha kamili ya yale yasemwayo 'Rizii na powder uko Uchina'...
 
oh my bad, i saw the JWTZ accronym, basi tuonyeshe ya wanajeashi
Inaelekea ulipata gandhi, hiyo clip inaelezea Jeshi likitoa mafunzo kwa watumishi wa serikali. Kama unataka kuhusu jeshi lenyewe kafungue uzi
 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili swali...mkuu wa Nchi inasemekana alionywa lkn bado akasaini tuu...hii inavuta picha kamili ya yale yasemwayo 'Rizii na powder uko Uchina'...

.........mmmh!

Sidhani kama ali-saini huo mkataba mkuu. Kama angekuwa alimwaga wino pale isingekuwa rahisi hivi kwa JPM kuipiga teke hiyo project. Lazima ingeleta shida kwa kuvunja huo mkataba. Itakuwa ilikuwa proposal tu hiyo.
 
.........mmmh!

Sidhani kama ali-saini huo mkataba mkuu. Kama angekuwa alimwaga wino pale isingekuwa rahisi hivi kwa JPM kuipiga teke hiyo project. Lazima ingeleta shida kwa kuvunja huo mkataba. Itakuwa ilikuwa proposal tu hiyo.
Ila alitaka sana utiaji sahihi ukamilike kabla ya kuondoka wazalendo wakam-sabotage kwa nia njema na maslahi mapana ya nchi!
 
Back
Top Bottom