Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,664
Ila alitaka sana uriaji sahihi ukamilike kabla ya kupndoka wazalendo wakam-sabotage kwa nia njema na maslahi mapana ya nchi!
Hili linawezekana.
Ila alitaka sana uriaji sahihi ukamilike kabla ya kupndoka wazalendo wakam-sabotage kwa nia njema na maslahi mapana ya nchi!
Birds of the same feathers flock together! [emoji116] 😀 😀 [emoji116]
![]()
Desturi ya baba kwa mtoto ni amri kwa kwenda mbele.😉Nimemskiliza amesema Tanzania ni Mzazi wao..yaani ni Tz ni baba wa Burundi...mkuu wa Nchi hyo
Ebu chukulia mfano kile kipengele kinachoipiga marufuku serikali kuhoji kinachofanyika kwenye ile bandari,Ina maana hata wakileta madawa ya kulevya,hakuna kuhoji, wakileta silaha za kuvhafua amani,hakuna kuhoji,alafu mwanaume na suti anasaini!hovyo Sana.Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili swali...mkuu wa Nchi inasemekana alionywa lkn bado akasaini tuu...hii inavuta picha kamili ya yale yasemwayo 'Rizii na powder uko Uchina'...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] THAT REPLY REAL MAKE MA DAYBirds of the same feathers flock together! [emoji116] 😀 😀 [emoji116]
![]()
Ebu chukulia mfano kile kipengele kinachoipiga marufuku serikali kuhoji kinachofanyika kwenye ile bandari,Ina maana hata wakileta madawa ya kulevya,hakuna kuhoji, wakileta silaha za kuvhafua amani,hakuna kuhoji,alafu mwanaume na suti anasaini!hovyo Sana.
We never buy used military equipmentsoh my bad, i saw the JWTZ accronym, basi tuonyeshe ya wanajeashi
Kwahiyo wewe ni mboga alias kitoweo? 😀 😀👆oh my bad, i saw the JWTZ accronym, basi tuonyeshe ya wanajeashi
Hahahaaa nlikuwa cjaiona hii mana nlikuwa na presha ya mechi ya Young Africans,ebhn eeehh ilo dege wallahi km co leo litaanguka kesho [emoji3][emoji3]Birds of the same feathers flock together! [emoji116] 😀 😀 [emoji116]
![]()
Hussein Mwinyi alishasema, amejifunza kutoka kwa Magu jinsi ya kubana, wasifikirie yeye mpole.Tulikuwa tunaelekea kubaya sana, Magu kaja kutuonyesha njia sahihi naamini hata watakao mfuata wameona njia