Umesema vizuri sana, tatizo la watu hawapo realistic, wapo "very ambitious ". Jambo moja na zuri ninaloliona toka kwao ni kwamba wengi wako very "excited" kutokana na maendeleo yanayofanyika nchini, wana matumaini makubwa sana na uongozi na "future" ya Tanzania, vijana damu imechemka wapo tayari kufanya lolote kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao, hiki ni kitu kizuri sana kwa nchi yetu.Wadau mawazo yenu yote ni mazuri..sana
Kuna pande wanayoona SGR sio economical viable in 10yrs time we have to wait and see na wengne wanona ijengewe hata sasa hivi....
Mimi naheshimu mawazo yote...
Ila mshawaza mnataka reli ifike musoma kwa sababu gani ?..kusafirisha watu cause ya tourism..na in country bussiness au as alternative to Central corridor
Port ya Tanga ni ndogo sana kwa Dar..kama unataka SGR ambayo itacost 4bn usd + huo ni uhakika..lazima pia uandae na 600mil usd ya berth nyngne 2 Tanga...je kuna umuhimu huo sa hizi..wakati hata hakuna barabara za wilaya to wilaya...za lami hazijaisha ..SGR ya central haijaisha ..na tunamikopo ya ku service ya sector mbali mbali ..Dar Port yenyewe haijafikia Mombasa kwa number ya Berths ..kwanii tuspianue Dar port kwa kujenga super berths hata tano mpya..najua kuna plan ya kujenga berth mpya mbil for 600mil usd..ukiachana na hii plan ya expansion...kwa kuweka hivi na maanisha tuna sehemu nyngne ambazo tumeanza tunahitaji tumalizie kwa nguvu na si kufanya nusu nusu
Mimi nnachoona kama ni PPP kama Great jay alivyosema basi ni heri na waanze hata keshoo..ila kama ni GOT basi au hata mkopo commercial sio WB au AFDB isubiri kwanza ...
kuna sehemu nying kuna gaps bado
1.SGR kukamilika Central na kukamlika kwa JNHPP hii itakuwa ndani ya next 5 years -8yrs kwa SGR ..na JNHPP in next 4 yrs mambo ya kienda vizuri
2.Tuanze wenyewe ku mine Chuma chetu hii itasaida hata kupunguza import wa vyuma vya ujenzi wa hyo hyo SGR
3.ATC yenyewe mm navyoona bado haiendeshwi tu standards nzuri maybe cause ya Covid but bado...zile dreamliner inabidi zisiwe zinalala lala yani ni kazi kwa kazi lets see after covid na in next 5 yrs na hapo imecost goverment around 700mil usd ..it need s more stability
4.Bado reli kuunga DRC we need around 4 wagon ferries for DRC and 4 wagon ferries for Uganda for SGR kwenda vizuri ..DRC ni soko kubwa sana kwa SGR ...watu na vitu..na ni taifa kubwa
5.Social services of course so far speed ni nzuri hasa kwa health services na appreciate..ila we need better equipped primary schools na secondary ku imrpove standard za elimu hasa elimu ya kutengeneza vitu na elimu ya kujiajiri.
6 .Serikali pia inabidi ijenge nyumba za gharama nafuu kwa wananchi..kwenye mikoa mbali mbali inafanyika na NHC ila sio gharama nafuu kwa wanachi wa kipato cha chini sana
By saying all that am against GOT kuchukua mkopo au kutumia Tax kujenga Tanga wakati hizo project juu hazijaisha...ila kama ni PPP sawa amabyo goveremnt itapewa reli after X no of years
Sijaona project kubwa mpka sasa ya PPP na govt of Tz ..lets see kama hyo itakuwa ya kwanza
Mkopo au bure?mapambano gani??[emoji23][emoji23][emoji23]
I hope bure! ☝ 😀 😀 😀 ☝
Kama ni bure hapo sawa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I hope bure! [emoji121] 😀 😀 😀 [emoji121]
bure 😀😀😀 sasa sijui covid gani tena
Kama ni bure wacha zije tuzitafune, Corona imekwisha, na hata huo umeme katika vituo vya afya na Hospitali anazojenga Magufuli tayari zote zina umeme.bure [emoji3][emoji3][emoji3] sasa sijui covid gani tena
Tz_one umeongea vizuri kwa mawazo yako ila hili muda utajibu zaidi.Umesema vizuri sana, tatizo la watu hawapo realistic, wapo "very ambitious ". Jambo moja na zuri ninaloliona toka kwao ni kwamba wengi wako very "excited" kutokana na maendeleo yanayofanyika nchini, wana matumaini makubwa sana na uongozi na "future" ya Tanzania, vijana damu imechemka wapo tayari kufanya lolote kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao, hiki ni kitu kizuri sana kwa nchi yetu.
Ukiacha kipindi cha uongozi wa Nyerere, sijawahi kuona watanzania wakiipenda na kuikubali nchi yao kama kipindi hiki" big up kwa Magufuli katika hili". Lakini ni muhimu hii "Energy must be controlled", lazima tutumie muda mwingi katika kupanga ni jinsi gani maendeleo yetu yatakua endelevu hata baada ya Magufuli kuondoka Madarakani, tusijaribu kuingiza tonge mdomoni tusiloweza kulitafuna.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mambo mengine yaendelee nazani..Wadau mawazo yenu yote ni mazuri..sana
Kuna pande wanayoona SGR sio economical viable in 10yrs time we have to wait and see na wengne wanona ijengewe hata sasa hivi....
Mimi naheshimu mawazo yote...
Ila mshawaza mnataka reli ifike musoma kwa sababu gani ?..kusafirisha watu cause ya tourism..na in country bussiness au as alternative to Central corridor
Port ya Tanga ni ndogo sana kwa Dar..kama unataka SGR ambayo itacost 4bn usd + huo ni uhakika..lazima pia uandae na 600mil usd ya berth nyngne 2 Tanga...je kuna umuhimu huo sa hizi..wakati hata hakuna barabara za wilaya to wilaya...za lami hazijaisha ..SGR ya central haijaisha ..na tunamikopo ya ku service ya sector mbali mbali ..Dar Port yenyewe haijafikia Mombasa kwa number ya Berths ..kwanii tuspianue Dar port kwa kujenga super berths hata tano mpya..najua kuna plan ya kujenga berth mpya mbil for 600mil usd..ukiachana na hii plan ya expansion...kwa kuweka hivi na maanisha tuna sehemu nyngne ambazo tumeanza tunahitaji tumalizie kwa nguvu na si kufanya nusu nusu
Mimi nnachoona kama ni PPP kama Great jay alivyosema basi ni heri na waanze hata keshoo..ila kama ni GOT basi au hata mkopo commercial sio WB au AFDB isubiri kwanza ...
kuna sehemu nying kuna gaps bado
1.SGR kukamilika Central na kukamlika kwa JNHPP hii itakuwa ndani ya next 5 years -8yrs kwa SGR ..na JNHPP in next 4 yrs mambo ya kienda vizuri
2.Tuanze wenyewe ku mine Chuma chetu hii itasaida hata kupunguza import wa vyuma vya ujenzi wa hyo hyo SGR
3.ATC yenyewe mm navyoona bado haiendeshwi tu standards nzuri maybe cause ya Covid but bado...zile dreamliner inabidi zisiwe zinalala lala yani ni kazi kwa kazi lets see after covid na in next 5 yrs na hapo imecost goverment around 700mil usd ..it need s more stability
4.Bado reli kuunga DRC we need around 4 wagon ferries for DRC and 4 wagon ferries for Uganda for SGR kwenda vizuri ..DRC ni soko kubwa sana kwa SGR ...watu na vitu..na ni taifa kubwa
5.Social services of course so far speed ni nzuri hasa kwa health services na appreciate..ila we need better equipped primary schools na secondary ku imrpove standard za elimu hasa elimu ya kutengeneza vitu na elimu ya kujiajiri.
6 .Serikali pia inabidi ijenge nyumba za gharama nafuu kwa wananchi..kwenye mikoa mbali mbali inafanyika na NHC ila sio gharama nafuu kwa wanachi wa kipato cha chini sana
By saying all that am against GOT kuchukua mkopo au kutumia Tax kujenga Tanga wakati hizo project juu hazijaisha...ila kama ni PPP sawa amabyo goveremnt itapewa reli after X no of years
Sijaona project kubwa mpka sasa ya PPP na govt of Tz ..lets see kama hyo itakuwa ya kwanza
Tz_one umeongea vizuri kwa mawazo yako ila hili muda utajibu zaidi.Umesema vizuri sana, tatizo la watu hawapo realistic, wapo "very ambitious ". Jambo moja na zuri ninaloliona toka kwao ni kwamba wengi wako very "excited" kutokana na maendeleo yanayofanyika nchini, wana matumaini makubwa sana na uongozi na "future" ya Tanzania, vijana damu imechemka wapo tayari kufanya lolote kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao, hiki ni kitu kizuri sana kwa nchi yetu.
Ukiacha kipindi cha uongozi wa Nyerere, sijawahi kuona watanzania wakiipenda na kuikubali nchi yao kama kipindi hiki" big up kwa Magufuli katika hili". Lakini ni muhimu hii "Energy must be controlled", lazima tutumie muda mwingi katika kupanga ni jinsi gani maendeleo yetu yatakua endelevu hata baada ya Magufuli kuondoka Madarakani, tusijaribu kuingiza tonge mdomoni tusiloweza kulitafuna.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wadau mawazo yenu yote ni mazuri..sana
Kuna pande wanayoona SGR sio economical viable in 10yrs time we have to wait and see na wengne wanona ijengewe hata sasa hivi....
Mimi naheshimu mawazo yote...
Ila mshawaza mnataka reli ifike musoma kwa sababu gani ?..kusafirisha watu cause ya tourism..na in country bussiness au as alternative to Central corridor
Port ya Tanga ni ndogo sana kwa Dar..kama unataka SGR ambayo itacost 4bn usd + huo ni uhakika..lazima pia uandae na 600mil usd ya berth nyngne 2 Tanga...je kuna umuhimu huo sa hizi..wakati hata hakuna barabara za wilaya to wilaya...za lami hazijaisha ..SGR ya central haijaisha ..na tunamikopo ya ku service ya sector mbali mbali ..Dar Port yenyewe haijafikia Mombasa kwa number ya Berths ..kwanii tuspianue Dar port kwa kujenga super berths hata tano mpya..najua kuna plan ya kujenga berth mpya mbil for 600mil usd..ukiachana na hii plan ya expansion...kwa kuweka hivi na maanisha tuna sehemu nyngne ambazo tumeanza tunahitaji tumalizie kwa nguvu na si kufanya nusu nusu
Mimi nnachoona kama ni PPP kama Great jay alivyosema basi ni heri na waanze hata keshoo..ila kama ni GOT basi au hata mkopo commercial sio WB au AFDB isubiri kwanza ...
kuna sehemu nying kuna gaps bado
1.SGR kukamilika Central na kukamlika kwa JNHPP hii itakuwa ndani ya next 5 years -8yrs kwa SGR ..na JNHPP in next 4 yrs mambo ya kienda vizuri
2.Tuanze wenyewe ku mine Chuma chetu hii itasaida hata kupunguza import wa vyuma vya ujenzi wa hyo hyo SGR
3.ATC yenyewe mm navyoona bado haiendeshwi tu standards nzuri maybe cause ya Covid but bado...zile dreamliner inabidi zisiwe zinalala lala yani ni kazi kwa kazi lets see after covid na in next 5 yrs na hapo imecost goverment around 700mil usd ..it need s more stability
4.Bado reli kuunga DRC we need around 4 wagon ferries for DRC and 4 wagon ferries for Uganda for SGR kwenda vizuri ..DRC ni soko kubwa sana kwa SGR ...watu na vitu..na ni taifa kubwa
5.Social services of course so far speed ni nzuri hasa kwa health services na appreciate..ila we need better equipped primary schools na secondary ku imrpove standard za elimu hasa elimu ya kutengeneza vitu na elimu ya kujiajiri.
6 .Serikali pia inabidi ijenge nyumba za gharama nafuu kwa wananchi..kwenye mikoa mbali mbali inafanyika na NHC ila sio gharama nafuu kwa wanachi wa kipato cha chini sana
By saying all that am against GOT kuchukua mkopo au kutumia Tax kujenga Tanga wakati hizo project juu hazijaisha...ila kama ni PPP sawa amabyo goveremnt itapewa reli after X no of years
Sijaona project kubwa mpka sasa ya PPP na govt of Tz ..lets see kama hyo itakuwa ya kwanza
Unataka kusema serikali imekurupuka? Kwani wao hawana wataalamu wanaowashauri?Sasa mbona unaishi katika dunia ya nadharia?, kuna wataalamu wa kila eneo husika duniani, lazima kufanya mambo kitaalamu, hatuwezi kufanya mambo kwa mihemko na nadharia.
Kinachoonekana hapa unatumia nadharia zaidi kuliko kutumia ushahidi wa kitaalamu, kwanini unataka kuifanya Tanzania/awamu ya tano kuwa ni "special" haiwezi kushindwa au kupata hasara, kwamba haipaswi kusikiliza na kufanya mambo kitaalamu, kwamba hata kama wataalamu wanasema hili jambo haliwezekani kwasababu za kitaalamu, wewe unapinga kwasababu hii awamu ya tano haishindwi?.
Hiyo hoja ya reli mbili sijui umeitoa wapi? kama unaongelea reli ya kati na hiyo ya Musoma, mbona zinapitia sehemu tofauti? Usiangalie reli zinapoanzia na kushia tuu, angalia pia na zinapopitia. Sio wateja wote wanaanzia Dar na kuishia Mwanza/Kigoma, wengine wanapandia kati na kushukia kati.Tuliposema kwanini serikali ilishindwa kuendesha reli na kutafuta wawekezaji, ukasema "usilinganishe serikali zilizopita na serikali hii". Tuliposema wawekezaji waliamua kuachana na hiyo reli ya Moshi kutokana na kutokua na biashara ya kutosha, ukasema "kulikua na hujuma", tumetoa mfano wa SGR ya Kenya, unasema usilinganishe Kenya na Tanzania,. Wewe toa mifano ya Afrika kuonyesha ni nchi gani iliyojenga reli mbili zinazoelekea sehemu moja na zikafanya kazi kwa ufanisi. Kukurahisishia, taja nchi yoyote ile Africa ambayo reli zake zinafanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu ukiacha South Afrika.
Exactly, hii ndo maneno wale wa kulazimisha SGR Tanga-Arusha-Musoma hawawezi kuona na pia hawawezi ku-break down their argument why SGR to Musoma now! watu wasiwe na papara hii pipeline kwenda Tanga itafungua opportunities ambazo zitakuja kujenga demand ya hiyo SGR yaani Tanga-Arusha-Musoma ila kwa sasa hapana! Hii MGR yenyewe iko underutilized!Wadau mawazo yenu yote ni mazuri..sana
Kuna pande wanayoona SGR sio economical viable in 10yrs time we have to wait and see na wengne wanona ijengewe hata sasa hivi....
Mimi naheshimu mawazo yote...
Ila mshawaza mnataka reli ifike musoma kwa sababu gani ?..kusafirisha watu cause ya tourism..na in country bussiness au as alternative to Central corridor
Port ya Tanga ni ndogo sana kwa Dar..kama unataka SGR ambayo itacost 4bn usd + huo ni uhakika..lazima pia uandae na 600mil usd ya berth nyngne 2 Tanga...je kuna umuhimu huo sa hizi..wakati hata hakuna barabara za wilaya to wilaya...za lami hazijaisha ..SGR ya central haijaisha ..na tunamikopo ya ku service ya sector mbali mbali ..Dar Port yenyewe haijafikia Mombasa kwa number ya Berths ..kwanii tuspianue Dar port kwa kujenga super berths hata tano mpya..najua kuna plan ya kujenga berth mpya mbil for 600mil usd..ukiachana na hii plan ya expansion...kwa kuweka hivi na maanisha tuna sehemu nyngne ambazo tumeanza tunahitaji tumalizie kwa nguvu na si kufanya nusu nusu
Mimi nnachoona kama ni PPP kama Great jay alivyosema basi ni heri na waanze hata keshoo..ila kama ni GOT basi au hata mkopo commercial sio WB au AFDB isubiri kwanza ...
kuna sehemu nying kuna gaps bado
1.SGR kukamilika Central na kukamlika kwa JNHPP hii itakuwa ndani ya next 5 years -8yrs kwa SGR ..na JNHPP in next 4 yrs mambo ya kienda vizuri
2.Tuanze wenyewe ku mine Chuma chetu hii itasaida hata kupunguza import wa vyuma vya ujenzi wa hyo hyo SGR
3.ATC yenyewe mm navyoona bado haiendeshwi tu standards nzuri maybe cause ya Covid but bado...zile dreamliner inabidi zisiwe zinalala lala yani ni kazi kwa kazi lets see after covid na in next 5 yrs na hapo imecost goverment around 700mil usd ..it need s more stability
4.Bado reli kuunga DRC we need around 4 wagon ferries for DRC and 4 wagon ferries for Uganda for SGR kwenda vizuri ..DRC ni soko kubwa sana kwa SGR ...watu na vitu..na ni taifa kubwa
5.Social services of course so far speed ni nzuri hasa kwa health services na appreciate..ila we need better equipped primary schools na secondary ku imrpove standard za elimu hasa elimu ya kutengeneza vitu na elimu ya kujiajiri.
6 .Serikali pia inabidi ijenge nyumba za gharama nafuu kwa wananchi..kwenye mikoa mbali mbali inafanyika na NHC ila sio gharama nafuu kwa wanachi wa kipato cha chini sana
By saying all that am against GOT kuchukua mkopo au kutumia Tax kujenga Tanga wakati hizo project juu hazijaisha...ila kama ni PPP sawa amabyo goveremnt itapewa reli after X no of years
Sijaona project kubwa mpka sasa ya PPP na govt of Tz ..lets see kama hyo itakuwa ya kwanza
Ni vizuri kukubali argument bora na si kuanza kushambulia watu na ukanda na ukabila hapa economics ndo inaongeleka lets wait demand to build up at Tanga port. Lets wait the EACOP oil terminal to be constructed n current expansion to be completed. Nina uhakika tutapata picha kamili kuna uwezekano with their oil money Uganda waka-commit to Tanga port as the efficiency of Wagon ferries to Mwanza from Port bell and onwards by SGR to Dar will be a determinant factor! For now give a MGR a chance ti create a demand for railway services.Joto la jiwe we pia hauko realistic na unachokiongea mkuu
Usiji position kujudge mind set za watu.Tz_one umeongea vizuri kwa mawazo yako ila hili muda utajibu zaidi.
kwa ppp ya gharama kubwa ya soon ni mbamba bay sgr na liganga.Mambo mengine yaendelee nazani..
Heheheheheeee unaota ww mkuu [emoji3][emoji3]Maneno mazuri ila sikubaliani na shana kwamba akitoka Magufuli hakuna mtu wa kuendeleza kasi hii.....
Suleiman jafo humuoni!! Jamaa yuko vizuri sana. BITEKO pia humuoni?? Mwinyi Zanzibar humuoni? ? Vijana wapo, ambao kwa sasa wanafundishwa kushika usukani hapo baadae.
Kasome replies zangu kabla hujajibu mzee.Ni vizuri kukubali argument bora na si kuanza kushambulia watu na ukanda na ukabila hapa economics ndo inaongeleka lets wait demand to build up at Tanga port. Lets wait the EACOP oil terminal to be constructed n current expansion to be completed. Nina uhakika tutapata picha kamili kuna uwezekano with oil money Uganda waka-commit to Tanga port! For now give a MGR a chance ti create a demand for railway services.