toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
Kwa uhalisia wa maelezo yake ni kuwa Serikali imekurupuka na haitafanikiwa bali itaishia kwenye feasibility study na kwa research alizonazo yeye yupo sahihi huku wengine tukiendeshwa na mihemko 🙂Unataka kusema serikali imekurupuka? Kwani wao hawana wataalamu wanaowashauri?
Hiyo hoja ya reli mbili sijui umeitoa wapi? kama unaongelea reli ya kati na hiyo ya Musoma, mbona zinapitia sehemu tofauti? Usiangalie reli zinapoanzia na kushia tuu, angalia pia na zinapopitia. Sio wateja wote wanaanzia Dar na kuishia Mwanza/Kigoma, wengine wanapandia kati na kushukia kati.