Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

u6VQHum.png
EhToGi3XYAA7XVc.jpeg
 
Kwa wenye kumbukumbu au kama baadhi yenu mlikuwepo hilo eneo la stendi ya Ubungo ndio ilikuwa karakana kuu ya UDA.
Yale ma Icarus kumba kumba na mabasi yao yote yalikuwa yakilaka pale na kukarabatiwa pia

Unafahamu at its peak UDA alikuwa na mabasi mangapi? na unajua mipango ya BRT imeproject future expansion ya kufikisha mabasi mangapi?

Sikatai sehemu ya eneo inaweza kutumika kwa shughuli nyingine kama mall, hotel etc kutokana na uwingi wa watu watakao kuwa wanafanyakazi hapo na surrounding areas but that will require a fraction of the land.
Kwa nini mnataka kulazimisha mabasi yote lazima yalale ubungo?!kuna umuhimu huo?!!miradi yote iliyofuata imetengewa maeneo yake! deposit zipo,mpk sehemu za kujazia mafuta huko huko kama sio gesi!!!
 
Mi nangoja nione kama Uhuru atajipendekeza tena this time kwenda kulamba miguu ya JPM kuomba msamaha wa madudu ya corona kama last time alivyojialika akapewa tausi!

leo anapokea taarifa mbili mbaya sana..
1. bomba la mafuta
2. ujenzi wa SGR (hapa napenda Magu alichomekee hili jambo, then amwambie kabsa M7 live adharani na yey ajenge SGR ya kuelekea TZ)
 
Kwa nini mnataka kulazimisha mabasi yote lazima yalale ubungo?!kuna umuhimu huo?!!miradi yote iliyofuata imetengewa maeneo yake! deposit zipo,mpk sehemu za kujazia mafuta huko huko kama sio gesi!!!
Wacha ujinga wewe hiyo ardhi yote ni ya BRT for future plans huyo Mchina atafute sehemu nyingine!

BRT wenyewe wanaweza kuamua kujenga mall yao ili yale ya hadaa za Oysterbay police kuhepukika kwa nguvu zote!

Narrow mindedness kama wewe na Makonda mlitaka kutuingiza mkenge! Huyo Mchina kama yuko serious anashindwa nn kuwanunua wale wa upande wa Ubungo maji kisheria?

Watu kama wewe mnanunuliwa kwa vitu rahisirahisi hata upande wa khanga! BRT haina ofisi zake, kwanini iuze eneo? Kwani inashindwa kujenga mall yenyewe? Hivi unajua thamani halisi ya hiyo ardhi?

What if BRT is to incorporate trams n r built, where will they park, turn n get serviced? Wacha akili ndogo!
 
Aisee ukitaka Uhuru avae chupi kichwani afanye hivyo yaani huko Kunyaland kutalipuka!
Geza kuna wakati unashangaza, niliwahi kusema hapa kwamba kama reli ya Isaka - Kigali ikijengwa inaweza kumpa ushawishi museveni kuunganisha.
Nikasema umbali ni mfupi kwa sababu isaka Kigali itapita sehemu ya mkoa wa kagera so ni rahisi kuunganisha pale mpakani mutukula.
Ulinipinga ukasema ni ubinafsi kwa sababu kuna meli, nikasema je kama waganda wanataka sgr tusijenge?
Today you are supporting the same idea you opposed before😂😂
 
Back
Top Bottom