Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli reflection yake ingekuja kwny paa!!!pia wangeangalia namna ya kuruhusu mwanga wa asili(natural light) upite ndani kwa kiasi kikubwa si kufunika kama nyumba ninayojenga mimi uswahilini kwetu.
kwani huoni paa kama mlima? Bajeti iliyotengwa kugharamia stesheni ya Morogoro imepunguzws kuenda kugharamia upanuzi wa stesheni ya Kilosa!
 
So pakiwa pakubwa unajua BRT mpaka phase VI itakuwa na mabasi mangapi?
Kwa hiyo yaendelee kulala Jangwani? Ile sehemu si kubwa hivyo kama unavyodai BRT itahitaji ofisi pia zaidi ya more than 7 parking lots pia kumbuka total buses will be over 1000 by the time 6th phase is ready!
 
Dodoma city majabu tuu. Not looking good. In need of a major overhaul. Informal buildings.... oh well
 
Kawe 711 kufufuliwa

images - 2020-09-13T063126.280.jpeg
Screenshot_20200913-062827.png
 
Kwa hiyo yaendelee kulala Jangwani? Ile sehemu si kubwa hivyo kama unavyodai BRT itahitaji ofisi pia zaidi ya more than 7 parking lots pia kumbuka total buses will be over 1000 by the time 6th phase is ready!
Kwani mpngo ni magari yote ta BRT yaifa dhiw ubungo?...
 
kwani huoni paa kama mlima? Bajeti iliyotengwa kugharamia stesheni ya Morogoro imepunguzws kuenda kugharamia upanuzi wa stesheni ya Kilosa!
Mapaa yote ni mlima ila sio safu za milima!
Kwani mpngo ni magari yote ta BRT yaifa dhiw ubungo?...
Haiwezekani kwanza kuna mabasi alfajiri lazima yaanzie nje ya mji kuleta watu katikati. Pili ni risk kuweka mzigo wote mahali pamoja!!!tatu jangwani ni karakana kwa ajili ya maintenance ya buses za phase one tu,ukiangalia kila phase ina eneo kwa ajili ya ku accommodate maswala yake nenda mbagala mradi unapoishia kumetengwa eneo njo gongo la mboto pia,kasoro kimara tu.
 
Mapaa yote ni mlima ila sio safu za milima!

Haiwezekani kwanza kuna mabasi alfajiri lazima yaanzie nje ya mji kuleta watu katikati. Pili ni risk kuweka mzigo wote mahali pamoja!!!tatu jangwani ni karakana kwa ajili ya maintenance ya buses za phase one tu,ukiangalia kila phase ina eneo kwa ajili ya ku accommodate maswala yake nenda mbagala mradi unapoishia kumetengwa eneo njo gongo la mboto pia,kasoro kimara tu.
Kwahivy utakubaliana na mm kuwa eneo la Ubungu halina ulazima lote litumike kwa BRT pekee....?
 
Kwahivy utakubaliana na mm kuwa eneo la Ubungu halina ulazima lote litumike kwa BRT pekee....?
Kwa mtazamo wangu si lazima better kuweka kitega uchumi upate kipato zaidi kuna kitu kinaitwa BOT Build, Operate,Transfer wanaweza kwnd nalo hilo na ofisi wakapata humo humo.kuna wakati nilisafiri nikalizunguka eneo hilo nikauliza uliza wakaniambia tena mabasi ya brt yanaanzia kule mwisho kbs kwny katerminal eneo si haba watu wanalichukua poa tu unaenda mpk kule mwisho inapakana na ukuta wa TBS.Sijajua upande huu wa nyuma.
 
Kwa hiyo yaendelee kulala Jangwani? Ile sehemu si kubwa hivyo kama unavyodai BRT itahitaji ofisi pia zaidi ya more than 7 parking lots pia kumbuka total buses will be over 1000 by the time 6th phase is ready!
Mkuu mbn unajikot mwenyewe [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwahivy utakubaliana na mm kuwa eneo la Ubungu halina ulazima lote litumike kwa BRT pekee....?
Kwa wenye kumbukumbu au kama baadhi yenu mlikuwepo hilo eneo la stendi ya Ubungo ndio ilikuwa karakana kuu ya UDA.
Yale ma Icarus kumba kumba na mabasi yao yote yalikuwa yakilaka pale na kukarabatiwa pia

Unafahamu at its peak UDA alikuwa na mabasi mangapi? na unajua mipango ya BRT imeproject future expansion ya kufikisha mabasi mangapi?

Sikatai sehemu ya eneo inaweza kutumika kwa shughuli nyingine kama mall, hotel etc kutokana na uwingi wa watu watakao kuwa wanafanyakazi hapo na surrounding areas but that will require a fraction of the land.
 
Back
Top Bottom