Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
That's an historical CityTanga town. good. Tanga town needs a lot more work. Buildings look old or informal like structures. Good roads though
So acha wenge
That's an historical CityTanga town. good. Tanga town needs a lot more work. Buildings look old or informal like structures. Good roads though
Mbwigambwiga wako siku zote hawajui history ya mahali wako kubweka tu!That's an historical City
So acha wenge
Safi Sana, safari ya Musoma-mara utakuwa fupi,maana huwa Kama vile watu wanazunguka.Jpm kaamua aise!![]()
MY TAKE
Naona kama madaraja mengine mawili yakiwekwa kukatiza lake Victoria umbali wa kagera na Kigali tokea Mwanza utapungua sana! pia lingine kati ya Mwanza na Musoma.
JPM hajaahidi nime-suggest tu!Safi Sana, safari ya Musoma-mara utakuwa fupi,maana huwa Kama vile watu wanazunguka.Jpm kaamua aise!
Sure mchina anajiweza ila plan ya mwisho ilikuwa hivyo!!! japokuwa kale kaeneo ni kakubwa kubwa!!!si haba.Pale ni kwa ajili ya BRT mchina akawanunue wale wakaazi upande wa Ubungo maji!
So pakiwa pakubwa unajua BRT mpaka phase VI itakuwa na mabasi mangapi?Sure mchina anajiweza ila plan ya mwisho ilikuwa hivyo!!! japokuwa kale kaeneo ni kakubwa kubwa!!!si haba.
Si lazima mabasi yote yakalala ubungo itategemea na nature ya route zake tu including phase 5 nimejaribu kuangalia mzunguko wake,sehemu ambayo ingetufikirisha ni kariakoo!!!Maana ni kama focal point. Ndo sehemu ambapo krb mzigo wote wa Dar unamwagikaSo pakiwa pakubwa unajua BRT mpaka phase VI itakuwa na mabasi mangapi?
Ni kweli reflection yake ingekuja kwny paa!!!pia wangeangalia namna ya kuruhusu mwanga wa asili(natural light) upite ndani kwa kiasi kikubwa si kufunika kama nyumba ninayojenga mimi uswahilini kwetu.Wajuvi kwakweli am good supporter of the thread, since then Lakini when comes to Morogoro station design, nashindwa kuwaelewa YAPI how does it resemble to Uruguru montains?!! Kichwa changu kinapiga shoti, Mwenye final prototype ya jengo hili anisaidie maybe sielewi please!!View attachment 1568067
Hii sasa ndiyo halisi, Ile picha ya kwanza ilikuwa imegeuzwa.Posta 1960sView attachment 1568065
I've been asking myself the same question, may be cladding would make it to resemble the mountains.Wajuvi kwakweli am good supporter of the thread, since then Lakini when comes to Morogoro station design, nashindwa kuwaelewa YAPI how does it resemble to Uruguru montains?!! Kichwa changu kinapiga shoti, Mwenye final prototype ya jengo hili anisaidie maybe sielewi please!!View attachment 1568067
Ni kweli reflection yake ingekuja kwny paa!!!pia wangeangalia namna ya kuruhusu mwanga wa asili(natural light) upite ndani kwa kiasi kikubwa si kufunika kama nyumba ninayojenga mimi uswahilini kwetu.
View attachment 1568081
Mfano kama huu Denver International Airport
subiri iishe bado inajengwa broWajuvi kwakweli am good supporter of the thread, since then Lakini when comes to Morogoro station design, nashindwa kuwaelewa YAPI how does it resemble to Uruguru montains?!! Kichwa changu kinapiga shoti, Mwenye final prototype ya jengo hili anisaidie maybe sielewi please!!View attachment 1568067
hatujatoka kwenye reli bro👇👇Wajuvi kwakweli am good supporter of the thread, since then Lakini when comes to Morogoro station design, nashindwa kuwaelewa YAPI how does it resemble to Uruguru montains?!! Kichwa changu kinapiga shoti, Mwenye final prototype ya jengo hili anisaidie maybe sielewi please!!View attachment 1568067
Jengo la NBC linastahili pongezi kwa kweli dah!Posta 1960sView attachment 1568065