Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

watu wanaiba mpaka kahawa jaman[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

tena na bunduki.

Hahaha kahawa inafatwa na AK47.. hawa ni wahuni wa kutupwa kabisa. Yani kundi la wakora 20 wanachukua kahawa zaidi ya tani 25 na wanapote nazo bila kukamatwa! Sasa waliziweka mifukoni mwao hizo kahawa au vipi? Walipita wapi na huo mzigo?

Naona ni janja janja ya nyang`au huo mzigo "wamejipiga"
 
Map-of-study-sites.png





MY TAKE
Naona kama madaraja mengine mawili yakiwekwa kukatiza lake Victoria umbali wa kagera na Kigali tokea Mwanza utapungua sana! pia lingine kati ya Mwanza na Musoma.
Duu 😳😳haya bwana!
 
Hii ikikamilika ndio pale Ubungo panapihwa Nyundo na mradi mkubwa wa Logistic hub unaanza .

pameshaanza kupigwa nyundo.. upande wa kulia hadi kwenda kule nyuma kuelekea mtoni wameshaanza ase.. juzi nina ndugu nilimpeleka hapo kituon hadi ndan

siku jaribu kupanda kweny ile daraja upaone.. au fanya kuingia na gari.. ila pa kutoka ni kule kuelekea upande wa pili mtoni
 
hahah inaweza kuwa kama zile KDF fighter jets toka Jordan! ambazo baadae lugha ilibadilika zimenunuliwa kwa ajili ya spare parts!

Hazijafika bado, hizo ni propaganda zao. Ingekuwa zimefika hapa nyang`au wote wangejazana hapa kwenye huu uzi. Sasa saiv wanatuonesha biashara za udobi ingekuwa huu mzigo umefika kweli picha zingejaa humu na video. Halafu kuacha hiyo page uliyo share hapa, hakuna credible source yoyote iliyo report hiyo kitu. Ukiona na body language ya huyo dada msoma habari it`s like staged news.
 
Hazijafika bado, hizo ni propaganda zao. Ingekuwa zimefika hapa nyang`au wote wangejazana hapa kwenye huu uzi. Sasa saiv wanatuonesha biashara za udobi ingekuwa huu mzigo umefika kweli picha zingejaa humu na video. Halafu kuacha hiyo page uliyo share hapa, hakuna credible source yoyote iliyo report hiyo kitu. Ukiona na body language ya huyo dada msoma habari it`s like staged news.

Since July they were released in Barcelona

 
Back
Top Bottom