joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
RwandAir to reap big in Tanzania after ban on Kenyan airlines
Wajinga siku zote huishia kujuta




Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
RwandAir to reap big in Tanzania after ban on Kenyan airlines




Lazima watapanic na kuanza kufanya maamuzi ya kijinga na ndipo watajuta zaidi.RwandAir to reap big in Tanzania after ban on Kenyan airlines
Wajinga siku zote huishia kujuta
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wacha upuuzi ni viumbe wachache sana hapa duniani wanaotumia asilimia kubwa ya akili zao, tafuta sehemu pameandikwa wakenya wanatumia japo asilimia 1 ya akili zao nitoke Jf.
Hii ndio hali halisi ya wanaWacha upuuzi ni viumbe wachache sana hapa duniani wanaotumia asilimia kubwa ya akili zao, tafuta sehemu pameandikwa wakenya wanatumia japo asilimia 1 ya akili zao nitoke Jf.
Hii aslimia 1 ni kubwa sana na sidhani kama kuna taifa hapa EA linatukaribia kwenye matumizi ya akili, tafuta sehemu pameandikwa wakenya wanatumia japo asilimia moja ya akili zao nitoke Jf



Mwenye kitabu cha ilani ya ccm atume wadau
Mkoloni aliondoka na akili zao.Na ndiyo wanaoongoza kuwa na id nyingi humu cz ni wahuni sn wakipigwa ban wanajua wataingia kwa id mpya, wanapenda mali zetu lkn hawajui jinsi ya kuishi na mwenye mali, yn kupitia hii battle na mitandao mingine ya kijamii nimewajua Wakenya kwamba ni wapumbavu sn na wasio na adabu wala utu, ss cjui huwa wanasoma nn huko shuleni.
Hizi glass tatu hamjawacha kupost?


kwisha Kazi...watabaki na ngapi vile 3 ama 4?huyu waziri anaangaika sana, mbona upande wa Tanzania hatusikii lolote.
au analinda kibarua
Umeanza kuchoka hata safar badoHizi glass tatu hamjawacha kupost?