Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya, hii timu inaanza leo kucheza ligi kuu Tanzania, lakin tayar wana bus kubwa kama Simba SC.. ndo mjue hatupo level sawa kwenye mpira
IMG_1599400964.677991.jpg
IMG_1599400977.332449.jpg
 
Mkuu nasikia ndio mpango huo, kuna barabara nyingi hasa zinazoingia kwenye majiji tetesi ni kwamba zitapigwa njia nne.
Yes nmeona,kutoka Dodoma DAR road km 50km inatanuliwa
Tengeru-moshi-Holili 83km nayo inatanuliwa njia nne..
Mwanza nao watajengewa flyover
Screenshot_2020-09-06-19-38-26.jpg


Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom