Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kesho ni kuchapa kazi, Wacha Vijana wa Tandale wazidi kujifariji. Adios 😹😹😹
 
Uchumi wenu mbovu na ndiyo maana kuna nchi debt to GDP ni kubwa kuliko yenu ila hawaombi chakula, get the point don't be mad.
Ila hayakuhusu. Tukitaka tutapitisha asilimia 100 na hakuna kitu mtafanya. 😹😹😹🔥
 
Ila hayakuhusu. Tukitaka tutapitisha asilimia 100 na hakuna kitu mtafanya.
Ss mm yatanihusu vp? Mm kazi yng ni kukuletea chakula ww unipe pesa na wkt mwngne ukileta jeuri nafunga huduma unaanza kulia lia km hv
 
Halafu yuko Mmoja humu wa huko Marsabit anashangilia kuwa "Aid Capital" eti hoja yake ndugu zake wanapata ajira..

Yaani mwanaume unashangilia mwanaume mwingine kuja kwako, anaweka kiti barazani(kwako), watoto wako wanamvua viatu, mama yeyoo anamletea kikombe Cha chai, wewe unaenda kuwasha redio ngoja sijamaliza...(this is funny)

Kisha wanakuja wenye matatizo yao hapo(wadoezi)... anawasikiliza baadaye wanao wanatumwa tumwa hapooo na wewe unapewa hela ya chang'aa.. Basi rahaaa.

Halafu ukikutana na jirani unakenua kabisa naendelea vizuri umeona Jana yule bwana amekuja kwangu, katuma watoto yangu, , Bibi yangu kamfanyia chai tamu, na Mimi nimemwashia Sigara na redio..

Yesu Urudi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ni kweli kabisa jesus bora arudi
maana huyu jamaa

asvptx

katoa boko ,na ni kawaida yake kutoa boko ,,kaongea pumbu zenye kiwango cha ujinga wa hali ya kimataifa
 
wakenya bado tu wanaendelea kujidanganya na sky team

hawaijui Tz vizuri ,kwenye hili bara hakuna nchi inayoiweza Tanzania kwa propsganda,,,sema huwa hatutakagi longo longo za kijinga ila tuna uwezo mkubwa sana wa ushawishi wa aina zote kipropaganda na real.......hiyo power tunayo
Hakika, hakika
 
Nnavyoona JPM anasubri aone commitment ya Rwanda kam wanataka kujenga Kigali-Rusumo..before kuamua ajenge...maana hamna umaana kujenga reli hadi rusumo kama Rwanda atafeli kujenga yake
Hiyo kwa Rwanda hakuna kufeli jomba
 
Back
Top Bottom