na hushangai wanapokea mikopo na misaada kutoka kwa hao hao wenye madeni makubwa 😂😂😂😂 alaf anajitoa ufahamuUchumi wenu mbovu na ndiyo maana kuna nchi debt to GDP ni kubwa kuliko yenu ila hawaombi chakula, get the point don't be mad.
Ila hayakuhusu. Tukitaka tutapitisha asilimia 100 na hakuna kitu mtafanya. 😹😹😹🔥Uchumi wenu mbovu na ndiyo maana kuna nchi debt to GDP ni kubwa kuliko yenu ila hawaombi chakula, get the point don't be mad.
Uende upumzike happy Aids CapitolKesho ni kuchapa kazi, Wacha Vijana wa Tandale wazidi kujifariji. Adios![]()



so ImF wanaipendelea japan na nchi zingine au sio 😂😂😂👇👇👇^^ riwaya 😹😹
Ss mm yatanihusu vp? Mm kazi yng ni kukuletea chakula ww unipe pesa na wkt mwngne ukileta jeuri nafunga huduma unaanza kulia lia km hvIla hayakuhusu. Tukitaka tutapitisha asilimia 100 na hakuna kitu mtafanya.![]()



ni kweli kabisa jesus bora arudiHalafu yuko Mmojahumu wa huko Marsabit anashangilia kuwa "Aid Capital" eti hoja yake ndugu zake wanapata ajira..
Yaani mwanaume unashangilia mwanaume mwingine kuja kwako, anaweka kiti barazani(kwako), watoto wako wanamvua viatu, mama yeyoo anamletea kikombe Cha chai, wewe unaenda kuwasha redio
ngoja sijamaliza...
(this is funny)
Kisha wanakuja wenye matatizo yao hapo(wadoezi)... anawasikiliza baadaye wanao wanatumwa tumwa hapooo na wewe unapewa hela ya chang'aa.. Basi rahaaa.
Halafu ukikutana na jiraniunakenua kabisa naendelea vizuri umeona Jana yule bwana amekuja kwangu, katuma watoto yangu,
, Bibi yangu kamfanyia chai tamu
, na Mimi nimemwashia Sigara na redio
..
Yesu Urudi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app










mzee wa GDP mbona kimya hujanijibu so IMF na world bank wanaipendelea japan ni sawa 😂😂😂😂👇👇👇👇Kesho ni kuchapa kazi, Wacha Vijana wa Tandale wazidi kujifariji. Adios 😹😹😹
jubilii na Kikuyu zina jikula zenyewe 2022 Zita jutaHao mademu washaachishwa kazi piga ua![]()
mupitishe wapi na nani atawakopa wakat wenye kukopa wamewapa warning na red alert 😂😂😂😂👇👇👇 alaf leo unajifananisha na nchi zimekuacha miaka 300Ila hayakuhusu. Tukitaka tutapitisha asilimia 100 na hakuna kitu mtafanya. 😹😹😹🔥
Hakika, hakikawakenya bado tu wanaendelea kujidanganya na sky team
hawaijui Tz vizuri ,kwenye hili bara hakuna nchi inayoiweza Tanzania kwa propsganda,,,sema huwa hatutakagi longo longo za kijinga ila tuna uwezo mkubwa sana wa ushawishi wa aina zote kipropaganda na real.......hiyo power tunayo




mkuu acha ukorofi Hiyo kwa Rwanda hakuna kufeli jombaNnavyoona JPM anasubri aone commitment ya Rwanda kam wanataka kujenga Kigali-Rusumo..before kuamua ajenge...maana hamna umaana kujenga reli hadi rusumo kama Rwanda atafeli kujenga yake