Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

with debt to GDP ratio 67%😂😂👇👇
alaf muko hapa nye nye nye nchi imekufa
06DE14BC-81B9-477E-94C3-47D932395D71.jpeg
 
Haikuhusu ndewe wala sikio. Mataifa mengi sana GDP Debt ratio ni zaidi ya hiyo na wapo sawa tu. Tukitaka tutaongeza ifike asilimia 80 na hakuna kitu mtafanya 😹😹View attachment 1550219View attachment 1550220
unafananisha japan na kenya 😂😂😂
unafananisha 1st world country na 3rd world country 😆😆 unafananisha developed country na developing country

yani mtu anafananisha kiazi na boga 😆😆 watu wako miaka 300 mbele leo anafananisha na kenya sijawah kuona IMf inamuonya japan juu ya debt lakini nishawah kuona kenya ikionywa na IMF juu ya debt
 
Heheheheheeee leo pamewaka humu ndani, ofcz Wakenya wanazd kuelewa beats za Tz, mmoja kaleta upuuzi wa welthiest city katolewa uharo humu nadhani hatotudia tena, kapewa equation kashindwa kujibu nadhani tayari jibu wanalo raha sn wallahi
Umebakia kuwa COMMENTATOR hahaha nimecheka sana.😹😹

IMG_20200802_060030.jpg
 
unafananisha japan na kenya 😂😂😂
unafananisha 1st world country na 3rd world country 😆😆 unafananisha developed country na developing country
Kwa ujinga wako umeona Japan pekee, kweli unaumwa. Utakufa na presha. Tulia 😹😹
 
Haikuhusu ndewe wala sikio. Mataifa mengi sana GDP Debt ratio ni zaidi ya hiyo na wapo sawa tu. Tukitaka tutaongeza ifike asilimia 80 na hakuna kitu mtafanya 😹😹View attachment 1550219View attachment 1550220
ndio huyo huyo anafananisha japan na kenya na ndio huyo huyo anapokea mkopo kutoka japan 😂😂😂😆😆😆😆

 
Halafu yuko Mmoja humu wa huko Marsabit anashangilia kuwa "Aid Capital" eti hoja yake ndugu zake wanapata ajira..

Yaani mwanaume unashangilia mwanaume mwingine kuja kwako, anaweka kiti barazani(kwako), watoto wako wanamvua viatu, mama yeyoo anamletea kikombe Cha chai, wewe unaenda kuwasha redio ngoja sijamaliza...(this is funny)

Kisha wanakuja wenye matatizo yao hapo(wadoezi)... anawasikiliza baadaye wanao wanatumwa tumwa hapooo na wewe unapewa hela ya chang'aa.. Basi rahaaa.

Halafu ukikutana na jirani unakenua kabisa naendelea vizuri umeona Jana yule bwana amekuja kwangu, katuma watoto yangu, , Bibi yangu kamfanyia chai tamu, na Mimi nimemwashia Sigara na redio..

Yesu Urudi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ujinga wako umeona Japan pekee, kweli unaumizwa. Utakufa na presha. Tulia
Uchumi wenu mbovu na ndiyo maana kuna nchi debt to GDP ni kubwa kuliko yenu ila hawaombi chakula, get the point don't be mad.
 
Back
Top Bottom