Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sababu Kenya is the WORLD AID CAPITAL CENTRE. Yaani NGOs zote zitataka kuja kufanya kazi Kenya ili wafadhili wao watoe fedha watakazotumia kudhihirisha uwepo wao. Na sisi hatuna aibu kuwa the aid capital duniani sababu waKenya watapiga hela ndefu (sio maajabu tupo kwenye most corrupt nations). Watu wanapiga hela mkicheka cheka tu. Najua hii AID CAPITAL of the world huwezi ku ng'amua (mlinyimwa akili) ila ipo siku. Ipo siku.
WORLD AID CAPITAL CENTER...!!!!


kweli umelaaniwa,

waache kupeleka misaada kwenye shida ya chakula walete misaada ya chakula kenya kisa world aid capital center na ina NGO nyingi.....
 
ndio hii tanzania inawalisha nyinyi alaf inanjaa basi yesu ashuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Beberu aliwatoa LDC mkalala na viatu ila hii hapa mnakenua? Maajabu

2020 Hunger Map 2020 | World Food Programme

😹😹
IMG_20200827_201624.jpg
 
WORLD AID CAPITAL CENTER...!!!!


kweli umelaaniwa,

waache kupeleka misaada kwenye shida ya chakula walete misaada ya chakula kenya kisa world aid capital center na ina NGO nyingi.....
Mlinyimwa akili aisee. Nilisema huto ng'amua. Kaa kando.
 
Mlinyimwa akili aisee. Nilisema huto ng'amua. Kaa kando.
huna point mzee wa WORLD AID CAPITAL CENTER..
unaongea pumba sana,leo umenifurahisha sana


Yaani hata ulichokizungumza haukijui umeropoka tu.......
una akili ndogo sana,mda mwingine kukaa kimwa siyo ujinga ni bora ukae kimya kuliko kutype vitu vya kitoto vilivyojaa ujinga ili ujifurahishe.....hiyo ni dalili pia ni tabia ya shoga aliyepakuliwa mtungo
 
Back
Top Bottom