Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

City of Mwanza
tapatalk_1598463937685.jpeg
 
Magufuli anataka hicho kipande cha Makutupora - Isaka wajenge jeshi?

Dah hii itakua bonge la project, kutoka Dar kwenda Mwanza itakuwa simplified sana ila pia Airtanzania itakula kwao kidogo since ndio their profitable route.
Kwanini unaukiza Kama anataka kutumia jeshi mkuu?
 
Tulisema humu kwamba tutabaki pekee etu wakabisha, ona sasa hata kwenye zile threads zingine za cost comparison na ile ya Tz kuwa mfano wa kuigwa pia wamekimbia ofcz wamekimbia humu Jf, unajua kwa ss Wakenya hawako vzr kisaikolojia na hii ni baada ya kuistukia serikali yao kwmb ni dhaifu mno hasa baada ya covid 19 na pia wamegundua kwamba raisi wao ni hovyo sn baada ya kumfanyia comparison na Magu, me nashangaa sana unamfanyiaje comparison Magu na Uhuru ilihali hata kagame ambaye kimsingi ni smart president pia hamuwezi Magu.

Sasa baada ya kuona Tz imewashinda kila mahali wamekuwa desperate na hawana hamu kabisa ya battle na we subiri uone wakichinjana uchaguzi ujao cz uhuru atataka kumuweka mtu wake ili amuhifadhi kwa madudu aliyoyafanya lkn Ruto pamoja na Wakenya wengi hawatakubali na ndipo moto utawaka, kwakweli tuwaombee tu kwa Mungu cz Magu hatojishughulisha nao atakaa kwa mbali akisubiri kupeleka misaada c unajua jemedari wetu alivyo na dharau
Kama miungu wao mabeberu wametii kwa tz unategemea nyangau afanye nini zaidi ya kuufyata ndiyo kwaanza mwezi wa 8 wa mwaka we waache huu mwaka watatii tu kama nilivyo waambia wakawa wanakejeli
 
zidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thought
Niliwaambia huu mwaka mtatii hadi mabeberu watatii
Wewe jidanganye hapo kibera kuwa jf itabaki kimya maana kila siku watz tumeonyesha vision ya hali ya juu kila tulicho sema kimekuwa kweli hats komora096 anajua
 
Back
Top Bottom