The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yah hicho ndicho nnachojua mm.Tazara mwendokasi inapita ground level, ndio maana kuna nafasi kubwa Kati ya zile flyovers mbili.
Yah hicho ndicho nnachojua mm.Tazara mwendokasi inapita ground level, ndio maana kuna nafasi kubwa Kati ya zile flyovers mbili.
Mbukinya wote wamekimbia,kabakia mmoja tu komora...sasa nyie wakenya hamuwezi vita,mbona mwakata tamaa mapema sana na huko bado nyoka wa umeme hajaanza kutambaa,bwawa la nyerere bado halijaisha,brt phase 2 bado...komora we kaza unaweza kuwa rambo wa kenya au chuck norris
huu utakua Phase 7


. Watarudi tena wakitengeneza kitu cha kutudolishia.
Itasababishaje foleni mkuu, kwn mwendokasi nazo c zinasimama kwenye mataa?Ikipita chini itasababisha foleni pale
Au render mpya za likoni bridge zikitokaWameanzisha Mgomo?huu utakua Phase 7
. Watarudi tena wakitengeneza kitu cha kutudolishia.
Mfano: Mobius ikipata Order kadhaa![]()



Samora mwendokasi zinasababisha foleni mpaka wameweka traffic lights. Samora/Morogoro road junction imekaa vibaya,huwezi kuona mwendokasi likija hadi ufike kwenye junction usimame kabisa,sasa fikiria kila gari inakuja inasimama kwanza ndio ipite,foleni yake kama hamna polisi ni balaa.Itasababishaje foleni mkuu, kwn mwendokasi nazo c zinasimama kwenye mataa?
😆😆😆Ngoja nikutaftie nyingine.I wanted to say this....hii wameiga The Gherkin building London.
Wameiga One World Trade Center Building, NYHata prism wameiga NYC
Tulisema humu kwamba tutabaki pekee etu wakabisha, ona sasa hata kwenye zile threads zingine za cost comparison na ile ya Tz kuwa mfano wa kuigwa pia wamekimbia ofcz wamekimbia humu Jf, unajua kwa ss Wakenya hawako vzr kisaikolojia na hii ni baada ya kuistukia serikali yao kwmb ni dhaifu mno hasa baada ya covid 19 na pia wamegundua kwamba raisi wao ni hovyo sn baada ya kumfanyia comparison na Magu, me nashangaa sana unamfanyiaje comparison Magu na Uhuru ilihali hata kagame ambaye kimsingi ni smart president pia hamuwezi Magu.Wameanzisha Mgomo?huu utakua Phase 7
. Watarudi tena wakitengeneza kitu cha kutudolishia.
Mfano: Mobius ikipata Order kadhaa![]()




Wameiga One World Trade Center Building, NY
Jamaa ubunifu zero kabisa alafu wanajisifu wana elimu kubwa hapa EA hata mastesheni yao ya sgr wameiga from ChineseNgoja nikutaftie nyingine.



Wametuzidi bidii tu sio elimu, n btw uzembe tunajitahidi kuachana nao Huo ndio ulitulostisha sana.Kingine naona wameongeza bidii sana kutafuna pesa za wanyonge na icho kitu kitawacost sanaJamaa ubunifu zero kabisa alafu wanajisifu wana elimu kubwa hapa EA hata mastesheni yao ya sgr wameiga from Chinese![]()
zidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thoughtWameanzisha Mgomo?huu utakua Phase 7
. Watarudi tena wakitengeneza kitu cha kutudolishia.
Mfano: Mobius ikipata Order kadhaa![]()
Leo mm najikita kwenye majengo wanayoturingia humu tuWameiga One World Trade Center Building, NY
Binafsi naona mods walishindwa ku moderate huu Uzi,unapata mtu ana sign I'd mpya then anaanza kupost picha zimejaa huku tangu 2016 (hii tabia iko na wakenya sanana)mfano ni hio ngombe hapo juu inajiita faoro kila kitu amepost hapa kilo hapa tangu 2016.ivi mbona kama mtu ako idle sana asichukue mda arejee kurasa SA nyuma ajifahamishe Kwanza kama vitu anapost ziko hapa?Mimi ningekuwa mods ukirudia picha ziko hapa nakupiga ban.otherwise huu Uzi ulikuwa poa sana mbeleni ukianza dar Vs nai,siku izi ni uharo mtupu!!Wameanzisha Mgomo?huu utakua Phase 7
. Watarudi tena wakitengeneza kitu cha kutudolishia.
Mfano: Mobius ikipata Order kadhaa![]()
Unajua mkuu uzembe wa watanzania uliletwa na viongozi, ni km walitusahau wananchi nasi tukabweteka lkn huyu jamaa ameweka discipline hakuna cha bure na anawahimiza wananchi wafanye kazi, cku hz wachuuzi wameongezeka maradufu utakuta msichana mrembo anauza machungwa barabarani na fresh tu yn ule uzembe wa kizamani kuchagua kazi umepungua kwa kiasi kikubwa sana WaTz wa ss wapo bize mno.Wametuzidi bidii tu sio elimu, n btw uzembe tunajitahidi kuachana nao Huo ndio ulitulostisha sana.Kingine naona wameongeza bidii sana kutafuna pesa za wanyonge na icho kitu kitawacost sana
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wamecopy Empire state buildingLeo mm najikita kwenye majengo wanayoturingia humu tu
Nairobi
View attachment 1548444
New york
View attachment 1548445
zidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thought

Binafsi naona mods walishindwa ku moderate huu Uzi,unapata mtu ana sign I'd mpya then anaanza kupost picha zimejaa huku tangu 2016 (hii tabia iko na wakenya sanana)mfano ni hio ngombe hapo juu inajiita faoro kila kitu amepost hapa kilo hapa tangu 2016.ivi mbona kama mtu ako idle sana asichukue mda arejee kurasa SA nyuma ajifahamishe Kwanza kama vitu anapost ziko hapa?Mimi ningekuwa mods ukirudia picha ziko hapa nakupiga ban.otherwise huu Uzi ulikuwa poa sana mbeleni ukianza dar Vs nai,siku izi ni uharo mtupu!!
Jamiiforums imejaa utoto na bado upo humu!zidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thought
Lengo la mwendokasi ni kupunguza foleni, na ufanisi wake ni pale phases zote zitakapokamilika, mwendokasi si kwamba haisimami kwenye taa ila ina njia yake maalumu haisimami pamoja na magari mengine so haiwezi tengeneza foleni.Itasababishaje foleni mkuu, kwn mwendokasi nazo c zinasimama kwenye mataa?
Kabisa bro,Uzembe umetufanya tunaonekana hatujasoma...Tukaze buti zaidiUnajua mkuu uzembe wa watanzania uliletwa na viongozi, ni km walitusahau wananchi nasi tukabweteka lkn huyu jamaa ameweka discipline hakuna cha bure na anawahimiza wananchi wafanye kazi, cku hz wachuuzi wameongezeka maradufu utakuta msichana mrembo anauza machungwa barabarani na fresh tu yn ule uzembe wa kizamani kuchagua kazi umepungua kwa kiasi kikubwa sana WaTz wa ss wapo bize mno.
zidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thought