NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Noma sana mkuu.
Inapendeza..Kenya,Ethiopia, Tanzania Babalao ukanda Huu
Alafu nahisi hapo Tazara ....BRT 3 watajenga under ground tannel ili kuepuk foleni
Watajua hawajui pimbi hawa...



Why underground tunnel? there is enough space for another two ways flyover in between the existing one and even if it's not that important High capacity buses can use existing ones and goes back to their lanes there afterAlafu nahisi hapo Tazara ....BRT 3 watajenga under ground tannel ili kuepuk foleni
Kwn maambukizi hayajapungua kweliwameshawaskisa waume zao

baada mume wenu WHO kuongea mufungue shule 😂😂😂😂Kwn maambukizi hayajapungua kweli![]()
Hehehe!!jamani jamani jamani, naona nabii akiteremshwa kuhusu hiliWe mpuuzi ukisikia mtu yule ni maskini mana ake kitu cha kwanza kinamsumbua ni njaa, ukiona mtu anaonekana yupo vzr kiuchumi maana yake kitu cha kwanza hakimsumbui ambacho ni chakula.



Km vile wa tanzaniaLengo la uchumi ni ili mtu ama nchi iweze kujipatia mahitaji ya msingi ya binadamu, hilo ndio lengo kuu la binadamu yeyote kufanya kazi ili kupata uchumi, hayo mengine ni ziada tu.
Hakuna duniani, tena ninarudia kwa msisitizo, uchumi wa mtu au nchi hauna maana kama huo uchumi haujamaliza shida ya chakula, maji na malazi.
Unaongelea uchumi mkubwa lazima kuwepo na wawekezaji wa nje na ndani nchi..wala sio ushuzi wa kujengewa majengo mijini na serekaliLeo nakubana mpk makalio hayo hutoki leo, haya niambie nani kaongelea habari za private sector na utajiri wa nchi, hapa tunaongelea gdp kwmb inakuwaje gdp yenu kubwa kuliko Tz hapo hapo idadi ya watu kwenu ni ndogo kuliko kwetu which means per capita yenu kubwa kuliko yetu and yet u fail to afford ur basic needs?

Kwn maambukizi hayajapungua kwelbaada mume wenu WHO kuongea mufungue shule![]()


.Kwn maambukizi hayajapungua kweli![]()
Umewaza kibongo bongo kabisa yani, yani hko kwenu mnatafuta pesa kw ajili ya njaa kali..
Kwhyo wewe unaweza kuwe kinyumba ka ben pol sio


we haujielewi.......
huyo ni kichaa hajielewi kama hawazi kula basi afanye kazi bila kula ...We mpuuzi ukisikia mtu yule ni maskini mana ake kitu cha kwanza kinamsumbua ni njaa, ukiona mtu anaonekana yupo vzr kiuchumi maana yake kitu cha kwanza hakimsumbui ambacho ni chakula.