Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu nahisi hapo Tazara ....BRT 3 watajenga under ground tannel ili kuepuk foleni
Why underground tunnel? there is enough space for another two ways flyover in between the existing one and even if it's not that important High capacity buses can use existing ones and goes back to their lanes there after
 
We mpuuzi ukisikia mtu yule ni maskini mana ake kitu cha kwanza kinamsumbua ni njaa, ukiona mtu anaonekana yupo vzr kiuchumi maana yake kitu cha kwanza hakimsumbui ambacho ni chakula.
Hehehe!!jamani jamani jamani, naona nabii akiteremshwa kuhusu hili
Sasawa..acha nikubali tu ya kwamba mtu km uchumi wake uko vizuri ina maana ana chakula kingi sana kwake
 
Lengo la uchumi ni ili mtu ama nchi iweze kujipatia mahitaji ya msingi ya binadamu, hilo ndio lengo kuu la binadamu yeyote kufanya kazi ili kupata uchumi, hayo mengine ni ziada tu.

Hakuna duniani, tena ninarudia kwa msisitizo, uchumi wa mtu au nchi hauna maana kama huo uchumi haujamaliza shida ya chakula, maji na malazi.
Km vile wa tanzania
 
Leo nakubana mpk makalio hayo hutoki leo, haya niambie nani kaongelea habari za private sector na utajiri wa nchi, hapa tunaongelea gdp kwmb inakuwaje gdp yenu kubwa kuliko Tz hapo hapo idadi ya watu kwenu ni ndogo kuliko kwetu which means per capita yenu kubwa kuliko yetu and yet u fail to afford ur basic needs?
Unaongelea uchumi mkubwa lazima kuwepo na wawekezaji wa nje na ndani nchi..wala sio ushuzi wa kujengewa majengo mijini na serekali
 
Kwn maambukizi hayajapungua kweli
.
FB_IMG_1598376854029.jpeg
 
Back
Top Bottom