Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona kamjibu
tapatalk_1598344574192.jpeg
 
Jamiiforums ni forum inayomilikiwa na Mtanzania na huwezi nipangia pa kuingia ingekuwa labda ni kwenye zile forums zenu za ushago ungekuwa sahihi kuandika hivo.
Hahaha!!tatizo huyo mtanzania kaleta shobo..
Alafu nikuulize mbna hamuonekani kimataifa, mnangangania jf kutwa tu
 
We huelewi chochote kuhusu Economics thus y una argue kwa style hii, kwn niliposema gdp yenu ni ya uongo kwasababu mnashindwa kulisha watu unadhani nimemaanisha nn km kweli unaelewa japo kidogo habari za GDP.
Alaaa!!economics gani ya gdp kulisha watu..ilete msomi

Kisha unifafanulie tunashindwa kuwalisha watu mpka tusubirie misaada
Hapo ilkua unatumia term gani ya uchumi
 
Alaaa!!economics gani ya gdp kulisha watu..ilete msomi

Kisha unifafanulie tunashindwa kuwalisha watu mpka tusubirie misaada
Hapo ilkua unatumia term gani ya uchumi
Kazi ya kwanza kuu na ya msingi ya uchumi wowote ule duniani "is to feed people, before anything else"

The most primary and important basic need of any living thing is food & water, followed by shellter.

If you can't feed yourself then you are not independent, you must be under someone for your survival, otherwise you gonna die.
 
Kazi ya kwanza kuu na ya msingi ya uchumi wowote ule duniani "is to feed people, before anything else"

The most primary and important basic need of any living thing is food & water, followed by shellter.

If you can't feed yourself then you are not independent, you must be under someone for your survival, otherwise you gonna die.
Uchumi haulishi watu jomba, uchumi hufungua nyanja tofauti tofauti ndio angalau watu wanapata fursa za kujikuza..
Wala sio huo udubwasha wa kila kitu serikali, kw mfano nenda katika nchi zilizoendelea uone km serikali inafanya kila kitu..
 
Msimlaumu yule mzee, yanga kama yanga ina matatizo makubwa sana,sana,sana,sanaaaaa
Mkuu kiongozi wa juu kabisa ana impact kubwa sn kwa maendeleo ya taasisi husika, nitoe mfano mdogo tu kuna miaka flani WaTz walikuwa wakiamini kwamba Tz haitobadilika hata rais awe nani lkn mm nikawa nawaambia vijana wenzangu kwamba cku tukipata rais makini amini nawaambia hii nchi itabadilika nikawa nawapa mifano ya baadhi ya nchi zilizobadilika mfano Botswana hawakuamini lkn leo nadhani imedhihirika jnc gn kiongozi wa juu anaweza kuwa na impact.

Ss huyu mzee ameshindwa kivyote cz km Yanga ina matatizo je wa kuyatatua ni nani km co yeye? Yeye ndiye anatakiwa awe mtu wa kwanza imara na kucctza kwamba Yanga inaweza, akifanikiwa ktk hilo basi atawaambukiza mpk wana Yanga wa chini kabisa na mambo yataenda, lkn yeye km kiongozi wa juu kasanda unadhani itakuwaje?
 
Uchumi haulishi watu jomba, uchumi hufungua nyanja tofauti tofauti ndio angalau watu wanapata fursa za kujikuza..
Wala sio huo udubwasha wa kila kitu serikali, kw mfano nenda katika nchi zilizoendelea uone km serikali inafanya kila kitu..
Unawezaje ku afford gharama za maisha km pato lako ni dogo? Na unawezaje kuwa na pato la ku afford gharama za maisha km pato la jumla la taifa ni dogo kulinganisha na idadi ya watu ktk nchi husika?
 
Uchumi haulishi watu jomba, uchumi hufungua nyanja tofauti tofauti ndio angalau watu wanapata fursa za kujikuza..
Wala sio huo udubwasha wa kila kitu serikali, kw mfano nenda katika nchi zilizoendelea uone km serikali inafanya kila kitu..
Hizo nchi zilizoendelea pato lake likoje (gdp) ukilinganisha na idadi ya watu?
 
Back
Top Bottom