Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kiongozi wa juu kabisa ana impact kubwa sn kwa maendeleo ya taasisi husika, nitoe mfano mdogo tu kuna miaka flani WaTz walikuwa wakiamini kwamba Tz haitobadilika hata rais awe nani lkn mm nikawa nawaambia vijana wenzangu kwamba cku tukipata rais makini amini nawaambia hii nchi itabadilika nikawa nawapa mifano ya baadhi ya nchi zilizobadilika mfano Botswana hawakuamini lkn leo nadhani imedhihirika jnc gn kiongozi wa juu anaweza kuwa na impact.

Ss huyu mzee ameshindwa kivyote cz km Yanga ina matatizo je wa kuyatatua ni nani km co yeye? Yeye ndiye anatakiwa awe mtu wa kwanza imara na kucctza kwamba Yanga inaweza, akifanikiwa ktk hilo basi atawaambukiza mpk wana Yanga wa chini kabisa na mambo yataenda, lkn yeye km kiongozi wa juu kasanda unadhani itakuwaje?
Hayo yote unayoyasema uko sahihi sana,lakini si kwa hizi timu zetu,shida si viongozi,ila system..unaona simba,simba wamebadilisha mfumo wa uendeshaji wa club yao,wamefanikiwa kiasi,japo bado kuna vijimatatizo flani flani hadi mchakato ukamilike,nao ndo watakuwa strong zaidi..yanga wabadilishe mfumo(system) ya uendeshaji wa club,la sivyo usishangae katikati ya huu msimu wachezaji hawa wapya waliosajiliwa wanagoma kisa mishahara!!!..hata aje kiongozi gani pale yanga,kama mfumo haujabadilisha yanga tutaendelea kusota zaidi na zaidi

Yanga daima mbele,nyuma mwiko
 
Hayo yote unayoyasema uko sahihi sana,lakini si kwa hizi timu zetu,shida si viongozi,ila system..unaona simba,simba wamebadilisha mfumo wa uendeshaji wa club yao,wamefanikiwa kiasi,japo bado kuna vijimatatizo flani flani hadi mchakato ukamilike,nao ndo watakuwa strong zaidi..yanga wabadilishe mfumo(system) ya uendeshaji wa club,la sivyo usishangae katikati ya huu msimu wachezaji hawa wapya waliosajiliwa wanagoma kisa mishahara!!!..hata aje kiongozi gani pale yanga,kama mfumo haujabadilisha yanga tutaendelea kusota zaidi na zaidi

Yanga daima mbele,nyuma mwiko
Ni kweli kabisa kiongozi, ila unajua haya matatizo ya hz tm zetu ni kubadilishana tu leo simba kesho Yanga kutegemea na mdhamini gn yupo ktk tm yn hizi tm zinaendeshwa kipumbavu sn watu wanazitumia kupiga pesa, hiyo simba haina cha system mpya wala nn mkuu ni yale yale na ukitaka kuamini ngj Mo ajitoe pale wanarudi kule kule, yn system ni tatizo kubwa sana kwa tm zetu na ndiyo maana mpk leo zinahaha kuwa na viwanja vyake wkt uwanja ni kitu kidogo tu kwa brand kubwa km simba na yanga.
 
Uchumi haulishi watu jomba, uchumi hufungua nyanja tofauti tofauti ndio angalau watu wanapata fursa za kujikuza..
Wala sio huo udubwasha wa kila kitu serikali, kw mfano nenda katika nchi zilizoendelea uone km serikali inafanya kila kitu..
Nitaendelea kukufundisha kwasababu ninajua akili zenu zilivyo, hakuna aliyetaja serikali, tunazungumzia GDP ambayo ni uchumi wa nchi husika, GDP ni matokeo ya uchumi wa wananchi wote kwa pamoja. GDP kubwa maana yake wananchi wanazalisha sana, hatutegemei nchi yenye watu wanaozalisha sana (Bigger GDP), lakini hao wananchi wabashindwa kununua chakula chao wenyewe matokeo yake wanakufa kwa njaa.
 
Unawezaje ku afford gharama za maisha km pato lako ni dogo? Na unawezaje kuwa na pato la ku afford gharama za maisha km pato la jumla la taifa ni dogo kulinganisha na idadi ya watu ktk nchi husika?
Usiwashangae wakenya wa humu JF, hata viongozi wao pia ni hivyohivyo, uwezo wao wa kuelewa mambo ni mdogo Sana, yaani huwezi amini kama hawa ndio wamefika vyuo vikuu, Africa tuna safari ndefu Sana.
 
Nitaendelea kukufundisha kwasababu ninajua akili zenu zilivyo, hakuna aliyetaja serikali, tunazungumzia GDP ambayo ni uchumi wa nchi husika, GDP ni matokeo ya uchumi wa wananchi wote kwa pamoja. GDP kubwa maana yake wananchi wanazalisha sana, hatutegemei nchi yenye watu wanaozalisha sana (Bigger GDP), lakini hao wananchi wabashindwa kununua chakula chao wenyewe matokeo yake wanakufa kwa njaa.
Hehehee!!hta ulaya pia kuna wananchi ambao wanashindwa kumudu mahitaji yao ya kila siku
GDP haitafsiriwi kihvyo bwege, mfano mzuri sauzi na naija..
 
Unawezaje ku afford gharama za maisha km pato lako ni dogo? Na unawezaje kuwa na pato la ku afford gharama za maisha km pato la jumla la taifa ni dogo kulinganisha na idadi ya watu ktk nchi husika?
Hehehe!!hvyo ndivyo mmefundishwa saint kayumba, jamani...basi si india watu wangelikua matajiri wote
 
Hizo nchi zilizoendelea pato lake likoje (gdp) ukilinganisha na idadi ya watu?
Hzo nchi pia private sector ipo vizuri na haiyumbishwi kijingajinga..
Kuna utofauti wa nchi kuwa tajiri na nchi yenye uchumi mkubwa..
Hvyo ni vitu viwili tofauti kaka..

Kazi ya uchumi sio kulisha watu
 
Komora una uwezo mdg sn wa kufikiri, hebu ngoja nikuulize swali dogo tu unaelewa nini mtu anaposema per capita income.
Hehehe!!hzo ni assumptions tu jomba na wala sio kila mtu anafikia hvyo viwango
Unakuta nchi ina per capita ya zaidi ya $50k lkn bado utakuta miji yao kumejaa watu homeless km nini..

Kw mfano new york na dubai, kw akili za haraka haraka new ina uchumi mkubwa..
Lkn ukiangalia vitu kw groun NYC ina wazawa kibao kw street wanayumba kimaisha..

Narudia tena, uchumi sio chakula bali ni level ya ukuzaji wa bidhaa na huduma za viwango
 
Mkuu hilo swali ni kubwa sana na gumu kwa huyo binti/mama Gomora. Yaani kwa hilo swali tu anaweza asionekane humu wiki nzima akisubiri upepo utulie kwanza! 😀 😀
Upo, hta nishalijibu hko chini jomba..una swali na wewe
 
Hehehee!!hta ulaya pia kuna wananchi ambao wanashindwa kumudu mahitaji yao ya kila siku
GDP haitafsiriwi kihvyo bwege, mfano mzuri sauzi na naija..
Hahahaha, hakuna nchi yoyote ile duniani ambayo ina uchumi mkubwa lakini watu wake wanakosa mahitaji ya msingi.

Actually nchi zilito na uchumi mkubwa zimefikia hatua ya kulipa pesa kwa kila raia wake asiye na ajira ili aweze kupata mahitaji ya msingi kama food, rent, health insurance and Education.

USA ndio kuna matatizo kutokana na historia ya nchi yao kutokana na "racism na massive influx of foreigners".

Actually kama umesoma historia ya maendeleo ya binadamu inaonyesha kwamba, Chakula ndio kilikua ni kigezo cha kwanza kilichokua kinatumika kujua mtawala mwenye nguvu za kiuchumi, kabla ya matumizi ya pesa kuanza kutumika.

Hakuna familia au jamii yotote yenye nguvu za kiuchumi lakini wanafamilia au wananchi wake wanakufa kwa njaa, hicho kitu hakipo duniani.
 
Hahahaha, hakuna nchi yoyote ile duniani ambayo ina uchumi mkubwa lakini watu wake wanakosa mahitaji ya msingi.

Actually nchi zilito na uchumi mkubwa zimefikia hatua ya kulipa pesa kwa kila raia wake asiye na ajira ili aweze kupata mahitaji ya msingi kama food, rent, health insurance and Education.

USA ndio kuna matatizo kutokana na historia ya nchi yao kutokana na "racism na massive influx of foreigners".

Actually kama umesoma historia ya maendeleo ya binadamu inaonyesha kwamba, Chakula ndio kilikua ni kigezo cha kwanza kilichokua kinatumika kujua mtawala mwenye nguvu za kiuchumi, kabla ya matumizi ya pesa kuanza kutumika.

Hakuna familia au jamii yotote yenye nguvu za kiuchumi lakini wanafamilia au wananchi wake wanakufa kwa njaa, hicho kitu hakipo duniani.
Nguvu ya uchumi sio chakula, ama wewe ukiambiwa ile familia uchumi wao uko vizuri wewe kw akili za haraka tayari utawaza chakula ...

Watanzania saa zote huaga mnawaza chakula, ndio manake mpka karne hii kw kampeni za siasa mnapikiwa wali.
 
Hehehe!!hzo ni assumptions tu jomba na wala sio kila mtu anafikia hvyo viwango
Unakuta nchi ina per capita ya zaidi ya $50k lkn bado utakuta miji yao kumejaa watu homeless km nini..

Kw mfano new york na dubai, kw akili za haraka haraka new ina uchumi mkubwa..
Lkn ukiangalia vitu kw groun NYC ina wazawa kibao kw street wanayumba kimaisha..

Narudia tena, uchumi sio chakula bali ni level ya ukuzaji wa bidhaa na huduma za viwango
Dubai watu ambao hawana chakula na wanalala barabarani lazima kuna savant zifuatazo
1) Sio raia
2)Drugs addicts
3)Mentally unstable
4)Is unable to work for one reason or another
5)Legal reasons
 
Uchumi sio chakula, ukitaka chakula pambana ufanye kazi upate hela ndio uangalie km utanunua ule au utaendekeza starehe..

Ndio manake wanasiasa wenu huwabeba uwanaa sana, eti mtu anakuja alafu anapika wali mle ndio mmpigie kura
images.jpeg-19.jpg
 
Nguvu ya uchumi sio chakula, ama wewe ukiambiwa ile familia uchumi wao uko vizuri wewe kw akili za haraka tayari utawaza chakula ...

Watanzania saa zote huaga mnawaza chakula, ndio manake mpka karne hii kw kampeni za siasa mnapikiwa wali.
Lengo la uchumi ni ili mtu ama nchi iweze kujipatia mahitaji ya msingi ya binadamu, hilo ndio lengo kuu la binadamu yeyote kufanya kazi ili kupata uchumi, hayo mengine ni ziada tu.

Hakuna duniani, tena ninarudia kwa msisitizo, uchumi wa mtu au nchi hauna maana kama huo uchumi haujamaliza shida ya chakula, maji na malazi.
 
Lengo la uchumi ni ili mtu ama nchi iweze kujipatia mahitaji ya msingi ya binadamu, hilo ndio lengo kuu la binadamu yeyote kufanya kazi ili kupata uchumi, hayo mengine ni ziada tu.

Hakuna duniani, tena ninarudia kwa msisitizo, uchumi wa mtu au nchi hauna maana kama huo uchumi haujamaliza shida ya chakula, maji na malazi.
Sasawa ze la uchumi mkubwa"chakula"
 
Sasawa ze la uchumi mkubwa"chakula"
we komwe una utoto mwingi....

98% kinachofanya binadamu atafute pesa ni njaa kali la sivyo binadamu tungekuwa tumeumbwa kwa kutokuwa na njaa hakuna ambaye sngejishughulisha kutafuta pesa.....
hizo asilimia 2 zilizobaki nakuachia ili uweze kununua ped na mahitaji mengine yakidunia....
 
Back
Top Bottom