Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha Tanzanians.
This is your City,
2495129_JamiiForums358568165.jpg

This is our village.
Kisii
Screenshot_20200823-141621.png

Screenshot_20200823-141617.png
 
0.2% ya Kenyans ni wazungu, sawa na 103,000

65% ya ardhi nzuri yenye rutuba ipo mikononi mwa wazungu 36 pekee

Wacha kudanganya watu

Enda ukafunze hiyo kwa wajukuu wako.
Kericho Kenya
Farms owned by Kenyans.
People come together as a village to for a sacco.
Each family donates it's farm.
The sacco builds the tea factories,
The Sacco forms settlement schemes.
The rest of the land is turned to tea plantations.

Isn't Kenya beautiful!?
Screenshot_20200823-135817~2.png
Screenshot_20200823-140004~2.png
Screenshot_20200823-140120~2.png
Screenshot_20200823-140133~2.png
Screenshot_20200823-140149~2.png
 
Hii picha amepost wanjala imenstua kdg kwn kuna ujenzi unaendelea hapa, je ni ujenzi gn ukiacha hiyo interchange wajuzi mnisaidie hapa
Screenshot_2020-08-23-15-02-37.jpeg
 
Hatua alizochukua uhuru kupambana na covid-19 ni km mamluki na wala co mkenya mzalendo aisee, yn hatua alizochukua ni km ana visasi na Wakenya, hatua alizochukua uhuru hakuna nchi yoyote duniani iliyochukua yn kenya itaharibika mno na wasipoangalia wanaingia tena kwenye vita na safari hii hakuna wa kuwaamua tutawaacha wachinjane km Rwanda ili cc tukawatawale isitoshe baba yao msuluhishi wao ameshakufa na hawajaja kumzika we ngojea muone laana itakayowapata soon.
Juzi Uhuru kujitokeza na kupinga Mapinduzi ya Mali imeonyesha wazi kuwa ana wasi wasi mkubwa wa Mapinduzi dhidi yake.....anajua kabisa ame fail na hata hutuba ya jana iliashiria yote hayo.....Kunya iko katika hali mbaya sana Kiuchumi,na Serkali aina umoja..makamu wa Rais hana joint na Rais..Rao nae ana madaraka makubwa yasiotambulika kikatiba...Kenya imefeli na huu ni wakati mzuri zaidi kwetu sisi....na Kama sio kumpa Rao hako kacheo kasikojulikana Serkal ya Uhuru isingekuepo mpaka sasa....Huu ni mda wa kuwatawala.
 
Mm napotoka haikusu sababu utapat headech tu....Kwaiyo icho kipande cha double road ndio kimeku changany....tunajua kakamega ipo kisumu so sitashanga ikiwa ni vibanda kama hivyo viwil vitatu....kwani nyie water; internet na electricity ni tabu sana...mpka unajisifia utafikiri umeshika jiwe la tanzanite...aaah kumbe mko na shida sana kupat hizo huduma
Hizi ni roads za makambako.....sijui unakingineView attachment 1545765View attachment 1545781
Eti Kakamega ipo Kisumu. Hahahahaha. Mafala. Eti huduma!? Internet, we kweli. Hii sio Tanzania. Niko Kakamega.
Internet ni 4G. Cha maana nikwamba natumia Village Wifi. As you can see here on my screen shot. When will your village have free WiFi!?
Screenshot_20200823-150835~2.png
 
Juzi Uhuru kujitokeza na kupinga Mapinduzi ya Mali imeonyesha wazi kuwa ana wasi wasi mkubwa wa Mapinduzi dhidi yake.....anajua kabisa ame fail na hata hutuba ya jana iliashiria yote hayo.....Kunya iko katika hali mbaya sana Kiuchumi,na Serkali aina umoja..makamu wa Rais hana joint na Rais..Rao nae ana madaraka makubwa yasiotambulika kikatiba...Kenya imefeli na huu ni wakati mzuri zaidi kwetu sisi....na Kama sio kumpa Rao hako kacheo kasikojulikana Serkal ya Uhuru isingekuepo mpaka sasa....Huu ni mda wa kuwatawala.
Raisi hata ofisi za serikali hazijui kwa majina, sawa sawa na Magufuli aseme PSPF badala ya TRA ametia aibu sn aisee
 
Eti Kakamega ipo Kisumu. Hahahahaha. Mafala. Eti huduma!? Internet, we kweli. Hii sio Tanzania. Niko Kakamega.
Internet ni 4G. Cha maana nikwamba natumia Village Wifi. As you can see here on my screen shot. When will your village have free WiFi!?
View attachment 1545912
Mbn bando ni bei rahisi sn wanjala, hio free wifi kwa mwalimu km ww huoni unaihujumu nchi yako? Hizo free wifi huku kwetu ni kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo huko
 
Back
Top Bottom