Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1598171506.720941.jpg
 
Wanjala kenya eneo kubwa bado ni pori mkuu huwezi kufananisha na Tz hususan Dar, kitu pekee ambacho huwa nakisema humu ni ukweli usiopingika kwamba maeneo mengi ambayo kidogo kenya mmejitahd kujenga mmejenga kwa mpangilio ukiacha maeneo ya slums but Tz wananchi wamejitahidi sana kujenga lkn sio kwa mpangilio mzuri yn wananchi wameachwa wajenge wanavyojua wao kiasi cha kwamba unakuta nyumba nyingi zilizo residential area ni nzr lkn muonekano wake ni mbaya, hili jambo linanikera sn mm ndo mana huwa nasema viongozi waliopita walikuwa ni km wanacheza tu mipango miji wapo na tunawalipa mishahara lkn waliacha wananchi wakajijengea wanavyojua wao yn inakera sana.
You people don't understand the issue with slums in Nairobi.

During colonial era, Europeans needed workers ambao hawaishi nao sehemu moja, sasa wakawa wanatenga sehemu Waafrika weusi ambao ndio wanawafanyia kazi kujenga makaazi duni ya muda kando na wanapoishi wazungu. Hivyo ndivyo Slums zilianza.

Uelewe kwamba, Kibera, Mukuru, ni shamba la Serekali, serekali ikiamua inawafurusha wote. Sasa huwezi jenga permanent kwa shamba si lako.

Kuna serikali itakuja kuwatoa. Kibera haswa ilipewa wanubi kuishi tu maana walikuwa kama wakimbizi.
 
You people don't understand the issue with slums in Nairobi.

During colonial era, Europeans needed workers ambao hawaishi nao sehemu moja, sasa wakawa wanatenga sehemu Waafrika weusi ambao ndio wanawafanyia kazi kujenga makaazi duni ya muda kando na wanapoishi wazungu. Hivyo ndivyo Slums zilianza.

Uelewe kwamba, Kibera, Mukuru, ni shamba la Serekali, serekali ikiamua inawafurusha wote. Sasa huwezi jenga permanent kwa shamba si lako.

Kuna serikali itakuja kuwatoa. Kibera haswa ilipewa wanubi kuishi tu maana walikuwa kama wakimbizi.
Hili ni tatizo la waafrika, mfano kwa kenya maeneo ambayo wanaishi foreigners wanejenga kimpangilio lkn maeneo wanayoishi Wakenya yako hovyo mno, so hii inaleta picha ni kiasi gani Wakenya wako hovyo sn najaribu kuwaza km Wakenya wangekuwa na mamlaka ya kujijengea watakavyo km WaTz basi kenya ingekuwa ni zaidi ya nchi chafu duniani.
 
Back
Top Bottom