Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Yet this is your advanced cityMy Ushago is like a city to you.





spare me with that dammy lecture...
Yet this is your advanced cityMy Ushago is like a city to you.





spare me with that dammy lecture...
Usijishughulishe.Hayo ni maeneo machache wanjala au nikuwekee aerial view ya kakamega ili nikuaibishe?
Buffer!!!! Unaumwa wewe ...Sasa ttcl si ni mwendo wa ku buffer
Nimekupa sehemu nyingi sana tofauti. Usidhani hizo barabara ni sehemu moja. Huoni na kuonyesha hadi vijijini.Wanjala bhn, ss hiyo c ni baadhi tu ya sehemu km mnavyofanya mara nyingi kuweka picha moja angle tofauti lkn uki zoom eneo husika ni uchafu kushoto kulia![]()
Sumbawanga hahahaha enhe.
Yet this is your advanced cityspare me with that dammy lecture...View attachment 1545650View attachment 1545651
Wanjala kenya eneo kubwa bado ni pori mkuu huwezi kufananisha na Tz hususan Dar, kitu pekee ambacho huwa nakisema humu ni ukweli usiopingika kwamba maeneo mengi ambayo kidogo kenya mmejitahd kujenga mmejenga kwa mpangilio ukiacha maeneo ya slums but Tz wananchi wamejitahidi sana kujenga lkn sio kwa mpangilio mzuri yn wananchi wameachwa wajenge wanavyojua wao kiasi cha kwamba unakuta nyumba nyingi zilizo residential area ni nzr lkn muonekano wake ni mbaya, hili jambo linanikera sn mm ndo mana huwa nasema viongozi waliopita walikuwa ni km wanacheza tu mipango miji wapo na tunawalipa mishahara lkn waliacha wananchi wakajijengea wanavyojua wao yn inakera sana.Nimekupa sehemu nyingi sana tofauti. Usidhani hizo barabara ni sehemu moja. Huoni na kuonyesha hadi vijijini.
Najua huamini. But ndo hivyo.
Hapa ni Kimilili In Bungoma.yenyewe devolution imeinua kakamega sana