Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ule ule uharo tu

Thibitisha km ulifika mombasa ulivyofanya kisumu
Ukileta natoka jf
yaaani wewe kila siku upo nyuma tu unapitwa na vingi ,,hivyo vitu watu tulishavipita.....upo nyuma nyuma kama kalio la sanch..m

huko watu tuna ndugu na jamaa hivyo si big issue kwetu.........

cha ajabu tokea thread ianze hakuna mkenya aliyewahi kuthibitisha hata unyoya wa kuku wa dar huwa mnaishiaga kusema maneno tu ooh tunaijua dar kumbe hamna kitu hamtoki nnje ya kenya
 
Mombasa yetu katika ubora wake 😅😅😅

Mathare irudi daycare 😄

EeWtGtcX0AEqhrY.jpg


Hii slum inaitwa matakomoto 😅😅😅
 
Unadhani si ni masikini kama ninyi...hakuna siku ambayo phone yangu imekaa bila bando,kwanza bando kibongobongo bei cheap kishenzi yani,immagine ttcl kwa buku tu unapata gb 4 yaani full time data,ila tu siwezi kutizama utopolo
Sasa ttcl si ni mwendo wa ku buffer
 
yaaani wewe kila siku upo nyuma tu unapitwa na vingi ,,hivyo vitu watu tulishavipita.....upo nyuma nyuma kama kalio la sanch..m

huko watu tuna ndugu na jamaa hivyo si big issue kwetu.........

cha ajabu tokea thread ianze hakuna mkenya aliyewahi kuthibitisha hata unyoya wa kuku wa dar huwa mnaishiaga kusema maneno tu ooh tunaijua dar kumbe hamna kitu hamtoki nnje ya kenya
Yeye ndio kajichocha, mbna alipofika kisumu alikua na mbwembwe nyingi za kujionyesha km yupo kisumu..

Athibitishe na mombasa vile vile basi
 
Back
Top Bottom