komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
[emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mmeshalipa brt?
[emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mmeshalipa brt?
Kisumu mwenziwe ni mbeya -mwanza mwenziwe ni Mombasa na Dar vs Nairobi hapo hakuna ugomviKisumu Vs Dar?
Kuwa serious basi aiseee!!
Kisumu Mwenzie Mwanza Labda hko
Unajivunia second hand DMUs? 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1542047
Kwni ni baiskeli mpka tusijivunie[emoji23][emoji23]Unajivunia second hand DMUs? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 you guys always settle for less.Kwni ni baiskeli mpka tusijivunie[emoji23][emoji23]
naona plate no ya europe hio au kenya ipo europe??😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1542047
For safety reasons hakuwezi kuwa na Gate moja tu la kuingilia na kutokeahapa nafikiri wanapanda train operators na staff wengine
View attachment 1541872View attachment 1541874View attachment 1541875View attachment 1541877View attachment 1541878
I can feel your pain[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you guys always settle for less.
Kabisa, hilo gari lako lilikua na plate no.ya nje before iletwe hkunaona plate no ya europe hio au kenya ipo europe??[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna military base ya nchi yoyote, ila kuna wachina wëngi kule Ngerengere kwa ajili ya kufundisha na kuzifanyia ukarabati ndege za jeshi letu, karibu vifaa vyote na ndege zetu za kivita ni kutoka Chinanaomba kujua... kuna military base yoyote ya nchi za nje ambayo ipo Tanzania?
Usichojua ni kwamba mTz ana uwezo mkubwa wa kukichezea kiswahili atakavyo cz ni lugha yake kiasili, hata mm hapa nikiamua kuongea kiswahili changu cha mtaani hutaelewa hata neno moja ww labda utakuwa unakisia kisia tu.Kuna tofauti ya kutamka maneno na kushindwa kutamka herufi..
Tatizo mnajitia kujua kila kitu wakati wabongo mna matatizo lukuki likija swala la uongeaji wa kiswahili..
Tena tuache mikoani, hapo hapo dar tu ukikutana nao utacheka hadi upaliliwe
Now tunawaza MRT next year, yn Kenya kwakweli mtapata tabu sana ktk uongozi wa huyu mzee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1542047
Naona lingine lipo kwa mbaalii pale wanasafisha kutu zen walipakie kwenye meli safari kwa dampo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1542047
so unatuambia hio picha ni europe na sio kenya ni sawa 😂😂😂😂Kabisa, hilo gari lako lilikua na plate no.ya nje before iletwe hku
We kubali unatembelea mtumbaso unatuambia hio picha ni europe na sio kenya ni sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna na Haitakaa iwepo...sisi ni Taifa Huru.naomba kujua... kuna military base yoyote ya nchi za nje ambayo ipo Tanzania?
mbona hujibu basiWe kubali unatembelea mtumba
Those who were thinking this thing will not happen wajionee. Sasa wake na longolongo. The first most expensive ppp investment in Africa.
The Nairobi Express way
View attachment 1541980