Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BRT phase 2 Updates on the Right.

IMG_1112.jpg

IMG_1113.jpg

IMG_1115.jpg

IMG_1116.jpg
 
Jamani jamani Wakenya nawapeni siri huyu mzee wala hawafikirii nyie kwenye level ya maendeleo bali anawaza Europe yn hata km haitakuwa km Europe ila kuwe na mfanano yn anataka Tz iwe Europe ya Afrika so kuweni makini cz awamu inayofata anamaliza mchezo kabisa.

Heheheheheeee yn hapo huna haja ya kubanana kwenye madala dala ni unarukia brt cz phase zote 5 zikiisha it means popote ulipo brt ipo na kwa jinc networks za brt zitakuwa nyingi it means kutakuwa hakuna kujazana kwenye basi cz utaamua upande dala dala au uchukue brt [emoji3][emoji3] dk 5 umefika unakwea electric train yako 1hr upo moro unapiga kazi zako jioni unarudi, alafu wakati huo ule mpango wa elevated MRT utakuwa unaendelea it means kutakuwa na usafiri wa uhakika.

Tunawakaribisha Wakenya mje kujifunza tumewezaje kufika hapa kwa muda mfupi hv ila mcsahau kwmb hamtaweza kufika hapa leo wala kesho cz hamna msuli nchi yenu maskini, so komaeni na barabara za mkopo mkishindwa kulipa mkopwe nyie wenyewe [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Usichojua ni kwamba mTz ana uwezo mkubwa wa kukichezea kiswahili atakavyo cz ni lugha yake kiasili, hata mm hapa nikiamua kuongea kiswahili changu cha mtaani hutaelewa hata neno moja ww labda utakuwa unakisia kisia tu.

Naked truth[emoji817]
 
Jamani jamani Wakenya nawapeni siri huyu mzee wala hawafikirii nyie kwenye level ya maendeleo bali anawaza Europe yn hata km haitakuwa km Europe ila kuwe na mfanano yn anataka Tz iwe Europe ya Afrika so kuweni makini cz awamu inayofata anamaliza mchezo kabisa.

Heheheheheeee yn hapo huna haja ya kubanana kwenye madala dala ni unarukia brt cz phase zote 5 zikiisha it means popote ulipo brt ipo na kwa jinc networks za brt zitakuwa nyingi it means kutakuwa hakuna kujazana kwenye basi cz utaamua upande dala dala au uchukue brt [emoji3][emoji3] dk 5 umefika unakwea electric train yako 1hr upo moro unapiga kazi zako jioni unarudi, alafu wakati huo ule mpango wa elevated MRT utakuwa unaendelea it means kutakuwa na usafiri wa uhakika.

Tunawakaribisha Wakenya mje kujifunza tumewezaje kufika hapa kwa muda mfupi hv ila mcsahau kwmb hamtaweza kufika hapa leo wala kesho cz hamna msuli nchi yenu maskini, so komaeni na barabara za mkopo mkishindwa kulipa mkopwe nyie wenyewe [emoji3][emoji3][emoji3]

Wasamee[emoji23][emoji23][emoji23]...unawachapa na Nondo mpaka ninasikia harufu ya majonzi ndani ya mioyo yao
 
Jamani jamani Wakenya nawapeni siri huyu mzee wala hawafikirii nyie kwenye level ya maendeleo bali anawaza Europe yn hata km haitakuwa km Europe ila kuwe na mfanano yn anataka Tz iwe Europe ya Afrika so kuweni makini cz awamu inayofata anamaliza mchezo kabisa.

Heheheheheeee yn hapo huna haja ya kubanana kwenye madala dala ni unarukia brt cz phase zote 5 zikiisha it means popote ulipo brt ipo na kwa jinc networks za brt zitakuwa nyingi it means kutakuwa hakuna kujazana kwenye basi cz utaamua upande dala dala au uchukue brt [emoji3][emoji3] dk 5 umefika unakwea electric train yako 1hr upo moro unapiga kazi zako jioni unarudi, alafu wakati huo ule mpango wa elevated MRT utakuwa unaendelea it means kutakuwa na usafiri wa uhakika.

Tunawakaribisha Wakenya mje kujifunza tumewezaje kufika hapa kwa muda mfupi hv ila mcsahau kwmb hamtaweza kufika hapa leo wala kesho cz hamna msuli nchi yenu maskini, so komaeni na barabara za mkopo mkishindwa kulipa mkopwe nyie wenyewe [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23] wape bakora baba[emoji23][emoji23] wakashindane na UG uko!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huwa wanawawekea renders tofauti na actual projects. Hapo treni ni za Umeme ila zinazokuja Mungu Ndio anajua [emoji38]
Huo mradi bado upo akilini mwao, lkn kw sasa wanawaza wataiba shingapi..
Ila msijali, kuna wakati akili huaga zinarudi na wanatekeleza
 

Outside Dar es Salaam, which city can level with fifth largest Kenya's town of Eldoret. Wengi humu(Tz) hawana data ya youtube.
 
Back
Top Bottom