Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe

Kati ya mtanzania nani mkenya anaongoza kufuatilia mambo ya mwenzie? Nimewahi sikia Samata ni mkenya, Magufuri, Mt Kilimanjaro iko kenya, Tanzanite, Diamond Platnumz, Olduvai gorge... na mengine kibao, nitajie japo kitu kimoja mbongo alifuatilia kuhusu kenya na hata akaclaim ni chake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kati ya mtanzania nani mkenya anaongoza kufuatilia mambo ya mwenzie? Nimewahi sikia Samata ni mkenya, Magufuri, Mt Kilimanjaro iko kenya, Tanzanite, Diamond Platnumz, Olduvai gorge... na mengine kibao, nitajie japo kitu kimoja mbongo alifuatilia kuhusu kenya na hata akaclaim ni chake [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatunaga habari nao kabisa mfano mm nmeanza kuwajua jua kanchi kao baada ya kuja humu Jf kabla ya hapo nilikuwa nikiwasikia wakijisifu sifu nkajua wametuzd kweli lahaaulaaa baada ya kuingia Jf nakutana na shuzi la bundi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heheheheheeee yn cku tukigundua hii kitu wallahi ukanda huu mtatueleza vzr cz kila kitu tunacho bado hii kitu tu na kwa takribani ya jiografia ya Tanzania ni lazima mafuta yapo tena mengi kupita nchi yyte Southern, East and Central of Africa ni suala la muda tu [emoji116][emoji116]

Utafutaji mafuta na gesi asilia Singida na matumaini ya neema Tanzania

Tanzania go go gooooView attachment 1540564

Bonde la ziwa Rukwa nalo kuna utafiti unaendelea wa mafuta, Dizeli toka enzi za Nyerere ipo kule ukiachana na Helium iliyogundulika juzi.. Najivunia sana hizi movements maana now tuna nafasi sasa ya kuingia mikataba yenye manufaa kwa taifa chini ya JPM [emoji1548]
 
Kambarage Tower Dodoma
IMG_5196.jpg
 
Bonde la ziwa Rukwa nalo kuna utafiti unaendelea wa mafuta, Dizeli toka enzi za Nyerere ipo kule ukiachana na Helium iliyogundulika juzi.. Najivunia sana hizi movements maana now tuna nafasi sasa ya kuingia mikataba yenye manufaa kwa taifa chini ya JPM [emoji1548]
Heheheheheeee mkuu kuhusu hili suala la wese Magu atapambana mpk kieleweke mana hisia zake zinamuambia kabisa wese haliwezi kosa Tz piga ua na hata viashiria vingi vinaonesha hivyo, pia Magu anataka agundue wese ili aanze kutoa mikopo ya riba nafuu kwa nchi zngne ikiwemo kenya zen washindwe kulipa akachukue lamu port [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heheheheheeee mkuu kuhusu hili suala la wese Magu atapambana mpk kieleweke mana hisia zake zinamuambia kabisa wese haliwezi kosa Tz piga ua na hata viashiria vingi vinaonesha hivyo, pia Magu anataka agundue wese ili aanze kutoa mikopo ya riba nafuu kwa nchi zngne ikiwemo kenya zen washindwe kulipa akachukue lamu port [emoji3][emoji3][emoji3]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi wanayo
 
Kati ya mtanzania nani mkenya anaongoza kufuatilia mambo ya mwenzie? Nimewahi sikia Samata ni mkenya, Magufuri, Mt Kilimanjaro iko kenya, Tanzanite, Diamond Platnumz, Olduvai gorge... na mengine kibao, nitajie japo kitu kimoja mbongo alifuatilia kuhusu kenya na hata akaclaim ni chake [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] umewashika ma kende.
 
Bonde la ziwa Rukwa nalo kuna utafiti unaendelea wa mafuta, Dizeli toka enzi za Nyerere ipo kule ukiachana na Helium iliyogundulika juzi.. Najivunia sana hizi movements maana now tuna nafasi sasa ya kuingia mikataba yenye manufaa kwa taifa chini ya JPM [emoji1548]
Hiyo ndo raha tulionayo...Rasilimali nyingi ya kwetu ilikuwa bado haijafichuliwa......Asante Mungu ,Tuna JPM na mikataba dhabiti.....ni kwa nini tusiwe kama Ulaya???
 
Kati ya mtanzania nani mkenya anaongoza kufuatilia mambo ya mwenzie? Nimewahi sikia Samata ni mkenya, Magufuri, Mt Kilimanjaro iko kenya, Tanzanite, Diamond Platnumz, Olduvai gorge... na mengine kibao, nitajie japo kitu kimoja mbongo alifuatilia kuhusu kenya na hata akaclaim ni chake [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata huyu wameanza kusema eti ni mkenya
 
Heheheheheeee mkuu kuhusu hili suala la wese Magu atapambana mpk kieleweke mana hisia zake zinamuambia kabisa wese haliwezi kosa Tz piga ua na hata viashiria vingi vinaonesha hivyo, pia Magu anataka agundue wese ili aanze kutoa mikopo ya riba nafuu kwa nchi zngne ikiwemo kenya zen washindwe kulipa akachukue lamu port [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa ninachokiona Tz itakuwa inatoa mikopo na Wallah naapa naiona Kenya km mteja wetu wa kwanza kwenye mambo ya mikopo....Magufuli aliongea mara kadhaa kuwa sisi ni Matajiri mara paap ..wakatutangaza wenyewe.kwa nini ishindikane kuwa km Ulaya??????
 
Hatunaga habari nao kabisa mfano mm nmeanza kuwajua jua kanchi kao baada ya kuja humu Jf kabla ya hapo nilikuwa nikiwasikia wakijisifu sifu nkajua wametuzd kweli lahaaulaaa baada ya kuingia Jf nakutana na shuzi la bundi [emoji3][emoji3][emoji3]
Hehee!!nitajie magavana wetu kwanza niskie raha
 
Back
Top Bottom