Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

alaf alivo mjinga bado anatetea huu upuuzi yani utafkiri wamelaaniwa hawa jamaa[emoji23][emoji23]
Hivi unadhani kwanini hata Mungu ameamua kuwapa adhabu kwa kuruhusu Corona iwamalize?, hao ni watu wa hovyo Sana, wacha waendelee kufa, bure kabisa hao jamaa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Makampuni yote yaliyotajwa kupewa kandarasi na KEMSA wamiliki ni wakikuyu, sikiliza vizuri hayo majina, hao wakikuyu ndio waliotorisha na kuviuza Tanzania.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Hehe kwa ground mambo ni different..

Waliiba hizo PPE then wakazivusha "TZ" then wakazirudisha kenya kwa kuwauza KEMSA kama wame import vile. Tz imekuwa kama escape route na storage but hazijanunuliwa na any institution in Tz. Huwawezi Gikuyu when it comes to business. Gikuyu ako aggressive na amechangamka kupata fursa hata madem wako vizuri maana dili hiyo amecheza Samantha Ngina. sasa bongo huko mtawezana hizo michezo? 😂 😂 😂
 
Alafu ukute wengi walioongezeka ni wakenya kwa sababu wanafuatilia ligi ya Tanzania kuliko ya kwao.
Dude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe
 
Hehe kwa ground mambo ni different..

Waliiba hizo PPE then wakazivusha "TZ" then wakazirudisha kenya kwa kuwauza KEMSA kama wame import vile. Tz imekuwa kama escape route na storage but hazijanunuliwa na any institution in Tz. Huwawezi Gikuyu when it comes to business. Gikuyu ako aggressive na amechangamka kupata fursa hata madem wako vizuri maana dili hiyo amecheza Samantha Ngina. sasa bongo huko mtawezana hizo michezo? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo kuwa aggressive ni kuiba pesa ya serikali?, kweli ninyi ni failed state, unafuraia pesa ya wanainchi kuibiwa na viongozi wenu, stupid kabisa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
What we do in our ocha, Tanzania cannot afford to build in their dirty Dar is Slum
tapatalk_1597507767911.jpeg

tapatalk_1597507763111.jpeg
 
Dude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe
Wakenya wanafuatilia ligi ya Tanzania zaidi ya Kenya, hiyo ni kwa mujibu ya maelezo ya Francis Kahata wakati anohojiwa na media za huko Kenya, sasa wewe na Kahata nani aneyejua zaidi mambo yanayohusu mpira wa Kenya na Tanzania?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wakenya wanafuatilia ligi ya Tanzania zaidi ya Kenya, hiyo ni kwa mujibu ya maelezo ya Francis Kahata wakati anohojiwa na media za huko Kenya, sasa wewe na Kahata nani aneyejua zaidi mambo yanayohusu mpira wa Kenya na Tanzania?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hahaaa!!kahata, endelea kuwalisha matangopori hvo hvo ndio wakupende zaidi..
Si wajua mwanangu ukitaka watazania wakuone wa maana unacheza na akili zao[emoji1787][emoji1787]
 
ndio footbridge ya kwanza mombasa wakat mwanza ziko zaidi 3 [emoji23][emoji23][emoji23]
Mombasa road iko mombasa[emoji1787][emoji1787]kwel umechanganyikiwa mazee..
Kisha unajitia kuijua nairobi na kenya kw ujumla[emoji2957]
 
Back
Top Bottom