ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
team haina hata banda la choo ina mafanikio gani 😂😂😂 miaka zaidi ya 50 wanacheza mpiraHku akikutana na simba anampenda km malaya wa lamu[emoji1787][emoji1787]
team haina hata banda la choo ina mafanikio gani 😂😂😂 miaka zaidi ya 50 wanacheza mpiraHku akikutana na simba anampenda km malaya wa lamu[emoji1787][emoji1787]
Hayo anayasema akiwa huko kwenu sio huku, kama mnavyopenda Bongo fleva, hata football pia mnafuatilia ya Tanzania, huko Hakuna mpira, ninyi ni kukimbia tu.Hahaaa!!kahata, endelea kuwalisha matangopori hvo hvo ndio wakupende zaidi..
Si wajua mwanangu ukitaka watazania wakuone wa maana unacheza na akili zao[emoji1787][emoji1787]
nikajua mombasa maana nilitaka kucheka leo 😂😂😂😂Mombasa road iko mombasa[emoji1787][emoji1787]kwel umechanganyikiwa mazee..
Kisha unajitia kuijua nairobi na kenya kw ujumla[emoji2957]
Gor mahia ana uchu na mpenzi wake aimba kwel[emoji1787][emoji1787]team haina hata banda la choo ina mafanikio gani [emoji23][emoji23][emoji23] miaka zaidi ya 50 wanacheza mpira
Tatizo mkikutana na sisi ni mwendo wa kuwadanda tu, hata yeye anakumbukumbunikajua mombasa maana nilitaka kucheka leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unajipa matumaini kwenye hakuna😂😂😂Tatizo mkikutana na sisi ni mwendo wa kuwadanda tu, hata yeye anakumbukumbu
Una uhakika na ukisemacho?Dude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe
Naona dongo jekundu hapo halina hata ladha, hapo hata ujenge nn hapatopendeza labda mfiche hilo dongo kwa grasses [emoji3][emoji3][emoji3]What we do in our ocha, Tanzania cannot afford to build in their dirty Dar is Slum
View attachment 1540420
View attachment 1540419
I can see the cable stayed bridge, wallahi kenya mna vituko [emoji3][emoji3][emoji3]
Few kilometers from upperhill [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
😃😃 I see a slumslope 😂😂😂Few kilometers from upperhill [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1540490
😂😂😂😂😂 Say it again without cryingDude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe
Mchezaji wenu wa national team unamuita retired? 😂😂🚮🚮🚮Kaja ku retire hko huyo mwamba, kacheza ligi za maana hata kuliko huo ushuzi wenu
Nairobi KenyaNaona dongo jekundu hapo halina hata ladha, hapo hata ujenge nn hapatopendeza labda mfiche hilo dongo kwa grasses [emoji3][emoji3][emoji3]
More of Nairobi Kenya[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]Nairobi Kenya
View attachment 1540572
Unasemaje!? Kama ni hivyo, kwaniniDude no one knows anything about Tanzania here, acha kulazimisha vitu......ni vitu kidogo sana wakenya wanajua kuhusu Tanzania tuambiane ukweli tuache unafiki..wakenya wenyewe hawafatilii ligi ya kwao ni ya Tanzania watafatilia???hizi akili zenu mwazijua wenyewe