komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umeruka kiberaTatizo Bei au tatizo majengo?mbona bongo hakuna nyumba ya buku 3 Kama kibera![]()


Umeruka kiberaTatizo Bei au tatizo majengo?mbona bongo hakuna nyumba ya buku 3 Kama kibera![]()


Narudia tena, hzo video nimequote hko juu hatari..Komora Kama komora pisi la kibabe ushawahi fika masaki au nipotezee tu![]()
Umeruka kibera![]()
Jibu ulishawahi fika masaki? Mbona unakuwa mswahili komoraNarudia tena, hzo video nimequote hko juu hatari..
Masaki haiingii hta robo kw kila kitu, kwanza mlishatengeneza barabara
Kama hizo kando ya Tan House?Kijito nyama kuna apartment mpka za dollar laki mbili
Watakuwa wanakichaaa...hii bongo ni hakunaga
Acha kujitekenya, unajua fika hiyo ni part ndogo sana ya MasakiHyo ndio kali kwenu kisha mazee, mi appartments kibao..
Kwnza hyo ndio imenichekesha sana, km zile za eastlanda tuView attachment 1537865
Na kingine kutokana na tribalism kuwa juu, wakenya hawa chochote cha kuwafanya kukusanyika hivyo, huu Umoja hawana
Ugonjwa unaoanza kukupata ulimpata janerose alianza hivi hivi kupost vitu na kujijibu mwenyewe sasa hivi kwawa mentoWallah bro.. Wallah.
Road network ya NAIROBI balaa bro.
![]()