Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baadhi ya mitaa ya masaki
Hyo ndio kali kwenu kisha mazee, mi appartments kibao..
Kwnza hyo ndio imenichekesha sana, km zile za eastlanda tu
20200815_121758.jpg
 
kweli tunafeli.. mfano hizi ni media za Tanzania lkn mpk sasa hazijareport hii taarifa



hata kama liliandaliwa (sponsored) na Azam au kuna sponsors wamejitokeza.. media zingine hazipaswi kukaa kimya
Media za Tanzania mbona zimeripoti sana tu,

Pia mbona hilo pambano limefanyiwa promo sana na clouds media.
 
Kuna vitu tumewazidi sana (Ustaarabu) lakini hawawez kuona, drive from Dar to Arusha kuna sehemu nyingi nzuri sana za kula na washrooms,filling station etc, hautafeel kuchoka wala kua boared,barabara nzuri sana kila kitu kiko proper, Na kuna baadhi ya wakenya waungwana wameshasema hili kuna vitu tumewaacha kwa umbali sana
Mna rooms za kutoana nyege barabarani? Maana umesema mna kila kitu.
 
Back
Top Bottom