Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha wee!!enhee za kijitonyama vipi[emoji23][emoji23]
Najua unataka kukwepa mada
Siwezi kukudangany angalia hii video apartment moja iko around 500mill sasa ww unazani uku ni kwamafukara
Screenshot_20200815-181821.jpg
 
Kwahiyo komora unataka kusemaje Sasa mbona husomeki,ushaambiwa Bei Bado unakenua kenua tu shida Nini
250m hyo ni sawa na km ksh 12m, tena hyo bei utakuta ni hayo majengo yaliyokatiza katika hyo street moja..nyuma balaa
 
Back
Top Bottom