Pamependeza
Wallah bro.. Wallah! Pametulia
Aiseeee!!NAIROBI!
asee humu kuna mtu anatumia ID mbili.. afu huu ndo umbweu sasa


Pamependeza
Wallah bro.. Wallah! Pametulia
Aiseeee!!NAIROBI!


Pamependezaaa, Pametulia. Au vipi? 😹asee humu kuna mtu anatumia ID mbili.. afu huu ndo umbweu sasa![]()
Construction updates of the 12-16 lane WAIYAKI WAY, NBO, KENYA
Balaa!Wallah bro.. Wallah.
Road network ya NAIROBI balaa bro.
😹😹
tulitakiwa tufanye promo kubwa sana kuonyesha sisi ndo wababe wa ngumi Afrika Mashariki na Kati.. pengine top three Africa nzima.. sema ndo hivyo tumelala..
Unapost na kujijibu mwenyewe?umeanza kichizi sioAISEEE!
NAIROBI
Ni vizuri mnajitambua. Kulala/kuzembea ndio mantiki ya ki TZ. Hata hivyo, inasikitisha lakini si maajabu![]()
Katika wizara zilizolala ni wizara ya michezo,snaaa na habari...they dnt know how much revenues inaweza ku contribute kwa goverment..budget yao pia huwa ndogo ..tulitakiwa tufanye promo kubwa sana kuonyesha sisi ndo wababe wa ngumi Afrika Mashariki na Kati.. pengine top three Africa nzima.. sema ndo hivyo tumelala..
na pia tungetumia ushindi za huyu jamaa kama kichocheo cha kujenga miundombinu inayosupport michezo ya ngumi.. mana vijana wengi wangejituma zaidi
Kwn hilo tatizo basiKomora dont play me like the other thingamajig did....attach that folder again not some screen shot
Lkn hapo hela ya kununua bunduki na risasi wako nayo..what an irony
⅓ya 47m people ni 23m kweli



Sasa nyinyi mkipitia hizo video kimya kimya halafu hamchangii, unatakaje?Unapost na kujijibu mwenyewe?umeanza kichizi sio