Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tulitakiwa tufanye promo kubwa sana kuonyesha sisi ndo wababe wa ngumi Afrika Mashariki na Kati.. pengine top three Africa nzima.. sema ndo hivyo tumelala..
na pia tungetumia ushindi za huyu jamaa kama kichocheo cha kujenga miundombinu inayosupport michezo ya ngumi.. mana vijana wengi wangejituma zaidi
 
tulitakiwa tufanye promo kubwa sana kuonyesha sisi ndo wababe wa ngumi Afrika Mashariki na Kati.. pengine top three Africa nzima.. sema ndo hivyo tumelala..


Ni vizuri mnajitambua. Kulala/kuzembea ndio mantiki ya ki TZ. Hata hivyo, inasikitisha lakini si maajabu 😹
 
tulitakiwa tufanye promo kubwa sana kuonyesha sisi ndo wababe wa ngumi Afrika Mashariki na Kati.. pengine top three Africa nzima.. sema ndo hivyo tumelala..
na pia tungetumia ushindi za huyu jamaa kama kichocheo cha kujenga miundombinu inayosupport michezo ya ngumi.. mana vijana wengi wangejituma zaidi
Katika wizara zilizolala ni wizara ya michezo,snaaa na habari...they dnt know how much revenues inaweza ku contribute kwa goverment..budget yao pia huwa ndogo ..
 
Unapost na kujijibu mwenyewe?umeanza kichizi sio
Sasa nyinyi mkipitia hizo video kimya kimya halafu hamchangii, unatakaje?

Niko mission ya kuwaelimisha na kuwaumbua 😹.

BATTLE? 😹😹😹 WHAT BATTLE!?
 
Back
Top Bottom