mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
hata iphone 3g ni iphone na inatumia ios.Unapingana na facts? Saa zingine huwa sikuelewi. Facts ni facts na wewe huwezi kuibadilisha.
Standard-gauge railway - Wikipedia
but kuwa nayo zama hizi ni zaidi ya uchizi. labda kama uko na program ya kufungua jumba la vifaa vya makumbusho siku za karibuni.
hoja kwamba inapigana kutuma sms, ni hoja ya kumaliza mjadala kwa nguvu[emoji38][emoji38][emoji38]