Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Nahisi hizi ni kwa ajili ya mizigo ndio maana wamesema ni locomotivesEuro dual izi sizamizigo mkuu ?...
Nahisi hizi ni kwa ajili ya mizigo ndio maana wamesema ni locomotivesEuro dual izi sizamizigo mkuu ?...
Ss ww ulitaka uzpate wp? C mnagawana wenzako wanatumia magazeti ya kwenu lkn ww huyaamini unaona utumie vyanzo kutoka Tz hamna shidaHta usishtuke, habari zote huaga nazipata jf, nikiboeka huaga naingia napitia jukwaa la siasa angalau nicheke kiasi



Jukwaa la siasa ndio source ya habari zake na ndio maana ana utapiamlo wa akiliSs ww ulitaka uzpate wp? C mnagawana wenzako wanatumia magazeti ya kwenu lkn ww huyaamini unaona utumie vyanzo kutoka Tz hamna shida![]()



yap ila sijaona another Class 159 ya abiria ya kampuni nyingine maana yake Stadler wanaweza kuwa na treni za abiria!Euro dual izi sizamizigo mkuu ?...
Tushaachana na talent3?yap ila sijaona another Class 159 ya abiria ya kampuni nyingine maana yake Stadler wanaweza kuwa na treni za abiria!
hiv yule wa waziri wa kenya aliesema wameshasuluhisha mgororo na Tanzania kuhusu ndege wiki iliyopita... anajisikiaje mpka sasa ndege zao haziruhusiwi kuingia bongo? TCAA wabane hivhiv mpka kipindi cha uchaguzi kiishe![]()



Uliza Masanja Kadogosa!Tushaachana na talent3?
Wanao mkuki moja mzuri sana unaitwa smile unaenda 250km /hr...ila sithan km watalichukua hili linabeb magari (mabehewa)8 mpka 11....kwakuw waziri mkuu alisema lita kuwa n uwezo wa kutunza charge basi naisi latent 3 ....nayo naielew snaayap ila sijaona another Class 159 ya abiria ya kampuni nyingine maana yake Stadler wanaweza kuwa na treni za abiria!
Usitufokee.Wabongo mshaanza kujitekenya kwenye maswala ya treni!!!!! Mtulie hadi Magu atakapoagiza. Hatuna uhakika hata kama atakamilisha miradi huu.
Najua Lissu hatapita kura. Kawaida chama ni CCM
Hizo blocks za nini!? Yaani unafyatua tofariBuild some 10 years ago. Langata road. Up to today, haina mpizani Dar.
View attachment 1530886View attachment 1530887View attachment 1530888View attachment 1530889
Mbona mnajifanya maboya!? Hamtaki ukweli, wabongo mlilaaniwa!???????Usitufokee.
Vilevile tuliza mshono.