passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,527
- 12,507
Nani hana uhakika wa kumaliza mradi?Tanzania sio nchi ya ovyo kama Kenya yaani hatuwezi kuanzisha mradi tusioweza kumalizaWabongo mshaanza kujitekenya kwenye maswala ya treni!!!!! Mtulie hadi Magu atakapoagiza. Hatuna uhakika hata kama atakamilisha miradi huu.
Najua Lissu hatapita kura. Kawaida chama ni CCM