Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

barabara kama hii ipo kenya, zambia na hapa Nigeria [emoji16]

IMG_1596888342.649956.jpg

Kenya
IMG_1596888384.017120.jpg

Zambia
IMG_1596888400.275729.jpg
 
Mbona mnajifanya maboya!? Hamtaki ukweli, wabongo mlilaaniwa!???????

Nimesema muache kujitekenya. Mradi wa reli ni Magu tu anajua utamalizika vipi. Mkimuudhi kwa kumpa kura chache, huenda akaachana nao kabisa. Chama ni CCM. LAZIMA KIPITE. Mradi huu wa reli ulikuwa wakumpa Magu umaarufu wa kisiasa. Unafikiri kwanini miaka 5 haujakamilika!? Anautumia kama kigezo. Kipindi cha pili hatakuwa na haja vile
Nakuhurumia sana maana awamu ya pili itakuwa mvua ya mawe, hivi mnavyoviona ni manyunyu tu. Hivi hujawahi kujiuliza makombora yatakayowaumiza ambayo yatakua rahisi kuimplement kutokana na improvement ya infrastructure? wewe umejikita kwenye miradi ya serikali tu, sikilizia vitu vinavyokuja
 
Dar es Salaam huwezi danganya. Sio kama Nairobi utajaribu kuokota vipicha hata vya 1980 udanganye. Dar hakuna mahali haina Slum. Ona tu hata kwa hii, yenu wenyewe mmepost.
View attachment 1530994
We jamaa umejua. Kuzungusha kiduara sasa kila kukicha unazungusha viduara.

Twende kama ifuatavyo:-
1. Roads and side walk
2. Flyovers
3. Bridges
4. Airport
6. Bus stand
7. Beaches
8. Marine trasport
9. BRT
10. Building
11. Food.
12. Entertainment


Twende kazi.....
 
Wabongo mshaanza kujitekenya kwenye maswala ya treni!!!!! Mtulie hadi Magu atakapoagiza. Hatuna uhakika hata kama atakamilisha miradi huu.

Najua Lissu hatapita kura. Kawaida chama ni CCM
Ww subiri tukiongelea majengo ila wajanja tunapoongelea mambo ya kimaendeleo ya kweli kaa pembeni tafadhali, hapa tunaongelea treni ya umeme je kwenu kuna treni ya umeme?
 
Mbona mnajifanya maboya!? Hamtaki ukweli, wabongo mlilaaniwa!???????

Nimesema muache kujitekenya. Mradi wa reli ni Magu tu anajua utamalizika vipi. Mkimuudhi kwa kumpa kura chache, huenda akaachana nao kabisa. Chama ni CCM. LAZIMA KIPITE. Mradi huu wa reli ulikuwa wakumpa Magu umaarufu wa kisiasa. Unafikiri kwanini miaka 5 haujakamilika!? Anautumia kama kigezo. Kipindi cha pili hatakuwa na haja vile
Hata hesabu za primary znakusumbua yn from 2017-2020 interval is 5yrs? Kweli mna kazi kubwa ya kufanya ikiwa hata walimu ndo hawa kina wanjala [emoji3][emoji3]
 
Nakuhurumia sana maana awamu ya pili itakuwa mvua ya mawe, hivi mnavyoviona ni manyunyu tu. Hivi hujawahi kujiuliza makombora yatakayowaumiza ambayo yatakua rahisi kuimplement kutokana na improvement ya infrastructure? wewe umejikita kwenye miradi ya serikali tu, sikilizia vitu vinavyokuja
Vinavyokuja mambo gani. Miaka tano treni hamjaiona!!!! Hata stesheni pekee haijaisha, nyinyi lakini mna matatizo!??? Bado mnaimba tu, yanayokuja!!! Hii CCM ni kama iliwaendea kwa mchawi. Hata mkiambiwa ukweli. Sasa hivi mtu akienda kwenye stesheni ya kura anatafuta tu alama ya CCM. CCM NDIO ILIWAZAMISHA KIUCHUMI NA ITAWAANGAMIZA MTOKOMEE. FUNGUENI MACHO MTAFAKARI. NYINYI NI WATU SI SIZIMIZI
 
funga mdomo jua unayeongea naye ni nani...hapa unaongea na nchi iliyokuzidi kuanzia idadi ya millionares mpaka billionares. usirudie tena kuongea pumba za kuafford

kila sehemu kuna wanaojiweza kifedha na wasiojiweza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una akili za usiku. mtanzania hawezi ishi kwenye appartment kama hizo,,,inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na akili za kunguru......yaani bila haibu unaziita hizo uchafu ni appartment....

pole yako mzee ojwani,
fact
 
Back
Top Bottom