komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nionyeshe mwiki hapo[emoji38][emoji38][emoji38]atabishana na google huyo.
Nionyeshe mwiki hapo[emoji38][emoji38][emoji38]atabishana na google huyo.
Wooiii!!nionyeshe mwiki hyo unayoingangania hapoHahahaaa co mwiki ni kasarani-mwiki road [emoji3][emoji3]
Just imagine hapo kuna tarmac road lkn kupo hvyo je nkiingia ndani itakuwaje, ndo hv ss[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]Nionyeshe mwiki hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
@Tony254 ukuje huku ako nugu [emoji205]ya Kenya inasumbuaSiwwzi kulaumu, mfumo wenu wa elimu ndio umekukwamisha[emoji23][emoji23]
Usihamishe magoli, naongelea kisirani congelei mwiki mm[emoji3][emoji3][emoji3]Wooiii!!nionyeshe mwiki hyo unayoingangania hapo
Mwiki road na kasarani ni vitu viqili tofauti boss[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Usihamishe magoli, naongelea kisirani congelei mwiki mm[emoji3][emoji3][emoji3]
Ss mm naongelea kisirani, bisha km hii co kasarani hapa utoki kudadadeki[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Mwiki road na kasarani ni vitu viqili tofauti boss[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
kasarani..ndio hio...we are not ashamed of our areas and we are not living in a denial...we accept critism so that we change our self..si kama nyinyi mwenye mukiambiwa mko na slum ya manzese..mnakata....Ss mm naongelea kisirani, bisha km hii co kasarani hapa utoki kudadadeki[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1525065
Kasarani wapi? Wewe kuokota vitu kwenye google.Pinga kwmb hapa co kisirani haya pinga tuone[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1525013
Sasa mwanamke mambo ya Vijiwe vya Kahawa unayajulia wapi?Yani hapo ukikaribia usikize story wanaongea, walai hutothubutu kurudi tena..
Mkuu ukitaka kujua km hao jamaa ni zero brain tembelea vijiweni km uko dar, yani nakwambia utacheka hadi mwisho utawaonea huruma..
Unajua ubishi uliopindukia katika masuala amabayo hayana mana..alafu hzo mada wanazobishiana sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
We acha2
Leo hupataki kwenu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Kasarani wapi? Wewe kuokota vitu kwenye google.
drone view ya kasarani..yenye ilikua unatakaLeo hupataki kwenu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1525080
kasarani..ndio hio...we are not ashamed of our areas and we are not living in a denial...we accept critism so that we change our self..si kama nyinyi mwenye mukiambiwa mko na slum ya manzese..mnakata....
Edward Wanjala umeona uchafu huu, hii c ni km India kwenye zile slums au Lagos au Soweto,, ss nadhani tumemaliza ubishi kwamba kisirani ni chafu [emoji3][emoji3][emoji3]kasarani..ndio hio...we are not ashamed of our areas and we are not living in a denial...we accept critism so that we change our self..si kama nyinyi mwenye mukiambiwa mko na slum ya manzese..mnakata....
kuna uchafu apo umeona wewe? unaeza lina nisha na manzese?Edward Wanjala umeona uchafu huu, hii c ni km India kwenye zile slums au Lagos au Soweto,, ss nadhani tumemaliza ubishi kwamba kisirani ni chafu [emoji3][emoji3][emoji3]
Tz hakuna slums km unabisha c ulete published proof km cc tunavyowaletea!kasarani..ndio hio...we are not ashamed of our areas and we are not living in a denial...we accept critism so that we change our self..si kama nyinyi mwenye mukiambiwa mko na slum ya manzese..mnakata....
Usinichoshe nianze ku screen shot video nzima nkuwekee humu, majengo yamebanana km hawaishi watu hakuna mipango miji yn hovyo hovyo au huoni, hahahaha naona mwalimu wanjala amesikia aibu kweli.kuna uchafu apo umeona wewe? unaeza lina nisha na manzese?
hii ndio niniTz hakuna slums km unabisha c ulete published proof km cc tunavyowaletea!
Ndo published proof hyo, ss ngj mm nkuwekee proof humuhii ndio nini