Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu taja sehemu Kasarani anayoijua!?
Pinga kwmb hapa co kisirani haya pinga tuone[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-04-17-21-51-32.jpeg
 
let me make work easier for you..you can view kasarani here from drone view..kasarani iko along thikA highway
Hyo video wala siifungui cz itanipotezea muda tu, hyo ni Thika road unategemea nini along the tarmac roads? Ni lazima kuwe na majengo mazuri, ofisi n.k ss mm nmewawekea original kisirani badala mpinge kwamba hyo co kisirani bali ni hii unaanza kuniletea mavideo ya nn ss
 
Yah ongezeni juhudi za kupima.inaonekana mkipima maambukizi yanapungua.
Na haimaanishi km msipopima ndio corona imepotea, endeleeni kuishi km kawaida yenu..
Huku watu wakifa mnapinga sio corona wakati hampimi maiti
 
Back
Top Bottom