Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio na wewe uache kutaja taja vitu ambavyo huvijui
Kisirani residential area hii hapa bisha kwamba co niingie Google Earth nkudhalilishe
Screenshot_2020-04-17-21-51-32.jpeg
 
Na haimaanishi km msipopima ndio corona imepotea, endeleeni kuishi km kawaida yenu..
Huku watu wakifa mnapinga sio corona wakati hampimi maiti
kwahiyo corona ndio imekuwa officials soul taker,hakuna vifo vya magonjwa mengine!!!!??

Sisi tunaishi mama,vifo vipo kama ambavyo kipindi corona haipo.ajali,marelia,hiv,pressure nk.
 
Back
Top Bottom