Izy_Name
JF-Expert Member
- Apr 9, 2020
- 1,061
- 2,552
Alaf usiwe unaniquote mim maana wew umekaa kisiasa tu sis hatuko huko postive na negative tunaziongea ila sio kisiasaPesa ziko chato,haitakaa imalizike maana pesa zote zinaingia hazina tofauti na awamu zilizopita mashirika yalikuwa yanatunza pesa zao kwenye benki wanazopenda wao ili wasiingiliwe na kukwamisha utekelezaji wa mipango yao kama huu mradi





