Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pesa ziko chato,haitakaa imalizike maana pesa zote zinaingia hazina tofauti na awamu zilizopita mashirika yalikuwa yanatunza pesa zao kwenye benki wanazopenda wao ili wasiingiliwe na kukwamisha utekelezaji wa mipango yao kama huu mradi
Alaf usiwe unaniquote mim maana wew umekaa kisiasa tu sis hatuko huko postive na negative tunaziongea ila sio kisiasa
 
Naomba unionyeshe slums hapo?
Km huon ilo siyo tatizo langu....
2395056_tapatalk_1588273150072.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums189535674.jpg
    JamiiForums189535674.jpg
    80.4 KB · Views: 3
  • JamiiForums299753569.jpg
    JamiiForums299753569.jpg
    76.4 KB · Views: 4
  • JamiiForums317525115.jpg
    JamiiForums317525115.jpg
    79.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom