mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
huku tuko na watoto,watu wazima wanajua.ila wako humu kujishaua!
huku tuko na watoto,watu wazima wanajua.ila wako humu kujishaua!
Kwani zikionekana kna shinda gani kaka,zote ni zetupale third biggest ikionekana huku CBd na upperhill zikiwa ndani 😂😂😂😂View attachment 1515592
Kujishaua kwingi wakati kwa ground mambo ni different.
Ata zisiwahi letwa,that is a golden opportunity ya wakulima wa Kenya
Hapo kwenye heading yako ulipaswa kuweka question mark cz habari uliyoi atach haijazungumzia chochote kuhusu covid-19, alafu ww Zigi Rizla usifosi tufanane huku kwetu hakuna corona najua unaumia sn lkn huo ndiyo ukweli wenyewe, mpk jana the late Mkapa alikuwa yuko safi tu according to Mr. Jakaya Mrisho Kikwete ila alikuwa anajisikia vibaya kiasi lkn usisahau kwamba ni mzee yule aged 81 na miezi michache ijayo angetimiza 82 ss ulitaka aishi milele hapa duniani? Mana umri wa kwenye maandiko alishaufikia ss unataka aishi miaka mingapi?The late Mkapa died of COVID-19 coronavirus Former Tanzanian president Benjamin Mkapa dies
Usitumie nguvu nyingi kumwelewesha Hawayani,asubiri aone kuanzia jumapili watu watakaoenda kuaga mwili...corona iko huko kwao..Tanzania ndio nchi pekee salama kwa wakati huu duniani.Hapo kwenye heading yako ulipaswa kuweka question mark cz habari uliyoi atach haijazungumzia chochote kuhusu covid-19, alafu ww Zigi Rizla usifosi tufanane huku kwetu hakuna corona najua unaumia sn lkn huo ndiyo ukweli wenyewe, mpk jana the late Mkapa alikuwa yuko safi tu according to Mr. Jakaya Mrisho Kikwete ila alikuwa anajisikia vibaya kiasi lkn usisahau kwamba ni mzee yule aged 81 na miezi michache ijayo angetimiza 82 ss ulitaka aishi milele hapa duniani? Mana umri wa kwenye maandiko alishaufikia ss unataka aishi miaka mingapi?
Mikunya they are like[emoji116]
daah..!!!!,,,,rest in better place benjamin
Hahahahaha! Nyang'au wakisoma haya mambo makubwa kabisa wanabaki kuwayawaya tu.
Mikunya they are like[emoji116]View attachment 1515737
wakenya baada ya kuona Tanzania ipo kweny list ila Kenya haipo
View attachment 1515725
Angekuwa na corona kikwete asingeruhusiwa kumuona.Hapo kwenye heading yako ulipaswa kuweka question mark cz habari uliyoi atach haijazungumzia chochote kuhusu covid-19, alafu ww Zigi Rizla usifosi tufanane huku kwetu hakuna corona najua unaumia sn lkn huo ndiyo ukweli wenyewe, mpk jana the late Mkapa alikuwa yuko safi tu according to Mr. Jakaya Mrisho Kikwete ila alikuwa anajisikia vibaya kiasi lkn usisahau kwamba ni mzee yule aged 81 na miezi michache ijayo angetimiza 82 ss ulitaka aishi milele hapa duniani? Mana umri wa kwenye maandiko alishaufikia ss unataka aishi miaka mingapi?
Wao wanakomaa na expressway [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaha! Nyang'au wakisoma haya mambo makubwa kabisa wanabaki kuwayawaya tu.
Hahahahaha! Wanaionyesha kila siku.Wao wanakomaa na expressway [emoji3][emoji3][emoji3]