uzito wa cku unatoka wapi wewe pimbi,saizi tuko site tunaendelea na kazi kama kawa
Hii ni nzito kwa nyie wapiga pambio wa awamu hii,poleni kwa pigo maana watu wakatili wakianguka wenye haki hupata ahueni..Huyu mwamba alikuwa katili kama wa sasa msikitikieni nyie huku kitaa hakuna anayesikitika coz tunajua alichotufanyia
Siku zake za mwisho alianza kujutia mambo kama ya Cuf muembeyanga,Zanzibar,Buhemba nk nk ,,hadi kujilaumu kwa nini hakuleta katiba mpya na kumsukumiza dikteta aliyepo maana nae alishaanza kumchoka mlibakia nyie wapiga pambio..apumzike anapostahili