Kuna fala mmoja anaitwa kennedy0000 kuna thread amepost inaonesha nchi zenye food insecurity so nadhani hii itamfaa sn hii ili ajifunge mkanda mapema [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23]
Kuna fala mmoja anaitwa kennedy0000 kuna thread amepost inaonesha nchi zenye food insecurity so nadhani hii itamfaa sn hii ili ajifunge mkanda mapema [emoji3][emoji3][emoji3]
Daah,baba hichi ni kichwa kikuu...hiyo diplomasia hapo kichwani Africa level yake ni Kofi Anan na TM kwa mbali.Sema dah huyu mwamba nilimuona wa kawaida, kumbe ana mchango mkubwa sana... mpka inafika wakenya wanamshukuru kuwanusuru na vita baada ya uchaguzi ama kweli mchango wake ulikuwa ni mkubwa.. Pumzika salama mzee [emoji1488]
View attachment 1515966
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unatak wakuny watowek kbisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii thread ingekuwa na profile picture .. hii ningeiweka as dp [emoji23][emoji23] ili isomwe vizur [emoji23][emoji23]
Ilipojengwa ile mkeo hajazaliwa[emoji23][emoji23]
Akili ndogo hawa mapimbi tu alikuj n vitarifa uchwara apaafu kuna mtu jana sijui leo alileta tweet ya twitter anatusimanga hatupo kwenye list ya nchi yenye chakula kingi.. naomba atagiwe hapa ili aisome vizur hili bango [emoji23][emoji23]
Wakulima wa tanzania wategemee hela za matumizi na pia zitawainua kimaisha kutoka kenya... tayari pochi limetuna tunasubiria walalahoi walime ndio tununueYn kwakweli nimejifunza Magu co mtu wa kawaida yn Magu tunayemuangalia kwa macho yetu haya cvyo tunavyomuona yn ni mtu mwenye IQ kubwa sana pengine kushinda hata hao kina Enstein wanaosema ndo viumbe wenye IQ kubwa, yn hayo wanayoongea wazungu leo Magu aliyaongea miezi kadhaa nyuma na akasisitiza wakija muwagonge bei kisawasawa, eti wazungu ndo wanaona leo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dada cku hz umepoteza hamu na hii thread why???Ilipojengwa ile mkeo hajazaliwa[emoji23][emoji23]
Ingia google utafute kampuni za wakenya bongo[emoji23][emoji23]Ni mavivu mnoo cz km covid-19 hata kwetu ilikuwepo ss iweje wao ndiyo njaa iwapige af cc itupitie mbali?
Halafu ukiletewa takwimu unaanza kulia lia[emoji23][emoji23][emoji23]Heheheheheeee huu mwaka huu Wakenya wengi wanahisi km tumeonga kwenye organizations za kimataifa mfano IMF, ILO, WHO, FAO, WB n.k ili watupendelee kwenye takwimu mana kila zikitoka tupo mbele yao, mm huwa nasema humu Wakenya wengi wame rely on outdated statistics ambazo wkt ule tulikuwa ni km the sleeping Giant but now tuko macho hawatii fitna tuko nao jino kwa jino na imebaki GDP ushuzi tu tukiipiga chini hiyo tunapandisha bendera yetu rasmi ya kwamba wakoloni wapya wa EA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kampuni ndiyo zinzozalisha chakula? Dada vp wewe?? Mbn unapaliwa mapema hv??Ingia google utafute kampuni za wakenya bongo[emoji23][emoji23]
Then ufanye vice versa alafu urudie tena hyo kauli yako kw sauti
kampuni wasizo zimiliki.....Kampuni ndiyo zinzozalisha chakula? Dada vp wewe?? Mbn unapaliwa mapema hv??
Warundi pia wanamjua!Sema dah huyu mwamba nilimuona wa kawaida, kumbe ana mchango mkubwa sana... mpka inafika wakenya wanamshukuru kuwanusuru na vita baada ya uchaguzi ama kweli mchango wake ulikuwa ni mkubwa.. Pumzika salama mzee [emoji1488]
View attachment 1515966
Kweli pochi zimetunaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]maskini wa kutupwaaWakulima wa tanzania wategemee hela za matumizi na pia zitawainua kimaisha kutoka kenya... tayari pochi limetuna tunasubiria walalahoi walime ndio tununue
Umekasirika[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli pochi zimetunaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]maskini wa kutupwaaView attachment 1516028View attachment 1516029View attachment 1516030
Wavivu akina nani hapo sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Kampuni ndiyo zinzozalisha chakula? Dada vp wewe?? Mbn unapaliwa mapema hv??
Bwahahaaa!![emoji23][emoji23][emoji23]kampuni wasizo zimiliki.....
ukizichimba owner ni white people kutoka ng'ambo
Kalime wakenya wanaleta ma lorry hko angalau upate hela za bandoDada cku hz umepoteza hamu na hii thread why???
alaf hwa ndio wanajiita sijui tuna GDP kubwa ushuzi mtupu😂😂😂😂