Nahisi GoT inakwenda kuchukua haya machimbo yawe ya taifa cz watadhani kuna utajiri mkubwa pale na inawezekana hyo ni center ya tanzanite.
Heheheheheeee hili ni pigo kwao [emoji3][emoji3]Tower ngapi zipo hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua mji wenu majengo yako mbalimbali hasa hapo CBD ndio maana unaweza dhani mna tower nyingi kumbe, asa tower ngapi mnazo... View attachment 1515465
Halafu cheki Mashine hiyooooo... Hahahaa, indicator ya kuwaacha, mmebaki na jina tuTower ngapi zipo hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua mji wenu majengo yako mbalimbali hasa hapo CBD ndio maana unaweza dhani mna tower nyingi kumbe, asa tower ngapi mnazo... View attachment 1515465
almanusura nikubishie mpaka nilipoona lile jipya lililopinda ndio nikakubali kwamba ni picha ya hivi karibuni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tower ngapi zipo hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua mji wenu majengo yako mbalimbali hasa hapo CBD ndio maana unaweza dhani mna tower nyingi kumbe, asa tower ngapi mnazo... View attachment 1515465
Hawapaswi kufanya hivyo.Nahisi GoT inakwenda kuchukua haya machimbo yawe ya taifa cz watadhani kuna utajiri mkubwa pale na inawezekana hyo ni center ya tanzanite.
Majengo yenyewe hayo si marefu ila kwa kuwa yamejengwa kwenye vimilimaTower ngapi zipo hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua mji wenu majengo yako mbalimbali hasa hapo CBD ndio maana unaweza dhani mna tower nyingi kumbe, asa tower ngapi mnazo... View attachment 1515465
Ni kweli.Hawapaswi kufanya hivyo.
leizer anatutaka tuache kazi sasa tumfate alipo na sululu[emoji38][emoji38][emoji38]Nahisi GoT inakwenda kuchukua haya machimbo yawe ya taifa cz watadhani kuna utajiri mkubwa pale na inawezekana hyo ni center ya tanzanite.
[emoji3][emoji3][emoji3]leizer anatutaka tuache kazi sasa tumfate alipo na sululu[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahah!!naona imepenya hyo[emoji23][emoji23][emoji23]Ww ni Juha tena Wakiwango cha Kibera
Ingia hapa uone nilini
Ndege ya Air Tanzania yapata ajali ikiwa na abiria 35 Kigoma, hakuna vifo
Maneno matupu jf hatutakiUkirudi nitag [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]Ww huwa unavamia vamia mambo tu bila ya kujua chanzo chake fala ww [emoji3][emoji3][emoji3]
Kw wezentu barbara km hzo uatatafuta sana katika estates zao
Pesa ziko chato,haitakaa imalizike maana pesa zote zinaingia hazina tofauti na awamu zilizopita mashirika yalikuwa yanatunza pesa zao kwenye benki wanazopenda wao ili wasiingiliwe na kukwamisha utekelezaji wa mipango yao kama huu mradihivi hii kitu imeshindikana kabisa kuimalziaView attachment 1515196View attachment 1515197
uzito wa cku unatoka wapi wewe pimbi,saizi tuko site tunaendelea na kazi kama kawaDah bado naitafakari cku ya kesho nahisi itakuwa nzito sn lkn kwa uwezo wa Allah atatufanyia wepesi katika jambo hili zito, mana kwakweli kifo ndiyo jambo pekee linaloanza kuwa kubwa na baadaye linazoeleka, tumuombe mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi kwani nasi hatujui siku yetu, cz unaweza tafakari jinsi gani itakuwa kesho na usifike hiyo kesho.
Ni msiba mzito sana kwakweli lkn ni lazima tukubali kwamba mzee amekwenda na kama yeye alivyo tutangazia msiba wa mwalimu Nyerere naye leo ametangazwa na mwenzie ya kwamba amefariki.
Kama Kapteni Komba alivyomuomboleza Mwalimu naye pia aliombolezwa.
Kama Dr. Lemi alivyoimba kifo lkn naye pia hakijamuacha.
Kama Ephrahim kibonde alipomuaga Ruge naye pia aliagwa cku chache zilizofuata.
Hivyo basi hili jambo ni la wote na wote tutakufa, WaTz tusimame pamoja katika msiba huu mzito na mwenyezi Mungu atatufanyia wepesi inshaallah.
Bwahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitambulisho gani?? Ongea ueleweke!
Wewe huna akili. Kuna lugha mbili hapo Kiingereza na Kiswahili. Watanzania hawakai Tanzania peke yake. Huo ni utambulisho wa mtanzania popote alipo. Tofauti na nyie pimbi wanene mnaotoa priority ya majina ya Kiingereza kwenye sehemu nzuri tu halafu zile sehemu ovyo mnazipa majina ya kiafrika. Pumbavu msio na haya nyinyi!Bwahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamateni mfunge bana, lugha ya mabeberu inatafuta nini hku[emoji119][emoji119][emoji119][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1515516