joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Huwezi kujua nchi zingine kwasababu hujatoka nje ya Kenya, Mimi huwa ninakuja Mara kwa Mara hapa Yaya Centre, hapo kuna ofisi za metala detectors, ninaijua vizuri sana Nairobi, haina tofauti yoyote na miji mingine ya Africa, zaidi ya insecurity.Hyo ishu ya peak hours na nairobi ni tofauti kabisa..
Hilo najua miji mingi sana sana afrika hilo bado ni tatizo..lkn kuuelewa mfumo wa nairobi lazima uje ukae ndipo utaelewa km mambo yanaendaje..
Kamwe huwezi ielewa nairobi kw story za vijiweni

