Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania baba laooo

Malawi yaanza siku tatu za maombi dhidi ya Corona
Screenshot_2020-07-16-14-58-01.jpeg
 
Huwezi kujua nchi zingine kwasababu hujatoka nje ya Kenya, Mimi huwa ninakuja Mara kwa Mara hapa Yaya Centre, hapo kuna ofisi za metala detectors, ninaijua vizuri sana Nairobi, haina tofauti yoyote na miji mingine ya Africa, zaidi ya insecurity.
Mmmmm!!naona umeanza kujitia ujuaji sasa
 
Chizi wewe, Magufuli alipoingia madarakani tu, aliwafurusha wakenya kibao waliokua wakiishi Tanzania bila kufuata sheria, ndio mwanzo wa wakenya kuanza kumchukia.
Bwahaha!!!tuanze na mwaka huu, watz na wakenya ni wapi walifurushwa makwao makundi makundi
 
Ugua pole pole tu
Wapi wakenya wamekamatwa makundi makundi na kurudishwa makwao
Najua ukwel unauma
yani waarabu wanawatesa uko saudia hadi tena hao waarabu wanawaonea huruma chakushangaza hamkomi kupeleka ma bek3 huko
 
Stadiums under construction in kenya
1 wote
2 chuka
3 kisumu
4 kinoru
5 mwea
6 marsabit
7 Mombasa
8 kamariny
7 Ruringu
8 Nandi
9 kipchoge
10 isiolo
11 Tononoka
12 masinde
 
Stadiums under construction in kenya
1 wote
2 chuka
3 kisumu
4 kinoru
5 mwea
6 marsabit
7 Mombasa
8 kamariny
7 Ruringu
8 Nandi
9 kipchoge
10 isiolo
11 Tononoka
12 masinde
Cha ajabu ngoja akuletee picha ya hzo u/c km hujazimia, utaambiwa kiwanja hk kimegharimu kshs 500mil zen angalia icho kiwanja wallahi na ukumbuke kwamba huo co ujenzi wa viwanja vipya bali ni ukarabati tu
 
For you to show that double stack it mean what exactly?....actual i dont see the engine...
It means the outlook of cargo train dosent matter, what is most important is the amount of cargo the train can handle, in that case our sgr cargo trains are giants furthermore they are one and only double stack in Africa, thus making them the best cargo trains in Africa
 
Back
Top Bottom