Barabara hazijengewi idadi ya watu, bali ni idadi ya Magari, hivi unajua idadi ya magari Tanzania nzima ni kiasi gani?, unajua ration ya Magari kwa Population ya Tanzania vs Kenya?, hivi unajua "Vehicle density ya Tanzania vs Kenya?
1)Kenya kuna Gari nyingi kupita Tanzania, wakati Tanzania ni kubwa Mara mbili ya Kenya.
2)Idadi ya Magari yanayopita ktk barabara za Kenya kwa 100Km ni Mara tatu zaidi ya Tanzania kutokana na udogo wa nchi yao na idadi kubwa ya magari ukilinganisha na Tanzania.
3)Ukiacha barabara ya Dar- Morogoro, barabara zingine zote hakuna wingi wa Magari unaohutaji hiyo unayoshauri wewe.