phoncemarwa
New Member
- Jul 4, 2020
- 2
- 0
Mh
Wacha tuwauzie chakula,ujinga wa viongozi wao ni faida kwetu.Wanasema njaa itadouble kenya mwaka huu . Tatizo kumuiga mzungu kila jambo . Bahati mbaya wanaopata madhara ni wale wa kipato cha chini sio decision makers. Hadi inatia huruma
Mwaka huu Mungu amezidisha neema ya chakula huku....huu ni wakati wa kuongeza idadi ya millionaire hapa nchini. Ni ku triple price tuu.wanamuiga mzungu wakat ana budget ya akiba kulisha nchi zao kwa miaka 5
Miaka miwili nilisema tena tutakuwa tunakimbiza Africa...mimi sioni mpinzani Ukanda huu.not in east africa tunzangumzia africa nzima
Wanazalisha nzige na coronaNyie kunyaland mnaongoza kwa kuzalisha nn