Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww Geza mbn unakuwa mbishi? Umeambiwa Dodoma hapatajengwa towers over 15 kwnn unabishana na wataalamu mkuu, ingepaswa ulete ushahidi kwamba kuna miji ambayo ni earthquake zones lkn kuna high towers then ndiyo tu doubt kwnn Dodoma icwe na over 15.
Kwa nijuavyo mm ni kwamba Dodoma hapatajengwa majengo marefu ss huenda sina information kamili, pengine ndiyo naskia kutoka kwako kwamba kuna areas for high rise buildings.
Wote wako sahihi, kuna miji mingi tuu yenye matetemeko kama Kobe, Japan au San Fransisco, USA ila kuna majengo marefu sana.

Kwa Dodoma kutokuwa na majengo marefu inawezekana ni kupunduza gharama katika eneo lenye tetemeko au inawezekana ni uamuzi wa serikali kuwa na majengo mafupi kwenye mji wa serikali kama ilivyo "the district" (DC).
 
But si kuliko Kenya
Ziko wapi hizo project za kushindana na Tz c mziweke humu tuone zen tulinganishe thamani ya hizo miradi? Mlikuwa wanyonge cz daily tunawachapa na projects mpya za Tz mpk mlipopata fununu kwamba Mchina atawajengea xpresway na kukukalieni kwa miaka 27 ndo saizi japo mmezinduka yn cc tunaleta miradi zaidi ya 20 nyie mmeng'ang'ana na xpresway, yn wakenya wote mmebaki kupiga kelele na kujipambanisha na Tz kisa hyo barabara a.k.a the biggest new white
 
Ziko wapi hizo project za kushindana na Tz c mziweke humu tuone zen tulinganishe thamani ya hizo miradi? Mlikuwa wanyonge cz daily tunawachapa na projects mpya za Tz mpk mlipopata fununu kwamba Mchina atawajengea xpresway na kukukalieni kwa miaka 27 ndo saizi japo mmezinduka yn cc tunaleta miradi zaidi ya 20 nyie mmeng'ang'ana na xpresway, yn wakenya wote mmebaki kupiga kelele na kujipambanisha na Tz kisa hyo barabara a.k.a the biggest new white
Maendeleo au vitu ambavyo tulifanya tayari
Hzo expressway itawachukua sijui miaka mingapi kuzipata
 
Maendeleo au vitu ambavyo tulifanya tayari
Hzo expressway itawachukua sijui miaka mingapi kuzipata
Vitu gn hvyo mlivyofanya tayari? Treni za umeme au bwawa kubwa la kisasa la umeme au matanki makubwa ya kuhifadhia maji au stendi kubwa za kisasa? Ebu kuwa specific unaongelea maendeleo gn mliyofanya mpk mseme hamuhitaji maendeleo tena au mlishamaliza kujenga ferries au tayari mna meli za kisasa pale Mombasa? au BRT? au mshamaliza kujenga masoko ya kisasa nchi nzima? Je mna maghala makubwa ya kutosha kuhifadhi chakula? Hebu tuambie chang'aa inakuisha pale unapokuja kugundua hayo yote niliyoyataja yapo Tz ila kenya hamna, kweli Tz baba laooo
 
Back
Top Bottom